Ndoa ya lazima

Ndoa ya lazima

Weka ndani mke wa pili ...dini si inaruhusu???
Lakini inataka moyo waangalie wake za mzee yusuph wanavyotibuana kisa dyudyu..tena ya zamu zamu
 
Asante kama umeshiriki ndani ya mawazo yangu maana mh.
Ila hatari iliyopo ni kukosa radhi

Dear utakosa radhi kama utammkosea sana mzazi wako kwa matusi, na kutomuheshimu... Otherwise you are fine.. Stand up for your marriage and be a man.. Usikubali kupelekeshwa pelekeshwa... Thanks..
 
Mimi sijui mambo yyt yahusuyo kabila wala mila maana nimezaliwa town nimekulia town na hadi sasa nipo town home napasikia tu katika story
Kama umezaliwa town hii ishu ndogo sana.. just be a decision maker
 
naona unaanza kutaka kuridhisha watu duniani...mkeo kakukosea nini...unataka ibilisi achukue nafasi...aliyeoa ni wee sio baba au mama fanya yako maisha ni yako na mkeo...wao wmchukie we mpende zaidi na uw naye bega kw bega...achana na huyo ibiisi aliyekuja katikati acha kustack akili
 
kosa la kwanza ulifanya kumpleka kwenu.. siyo muda wake sasahakuna radhi ya hivi hivi tu ..kama wewe hutaki ndoa nyingine embu acahana nayo hiyo.. mkeo wa kwanza ndiyo mke sahihi ... mkeo ni wako na si wa ndugu zako .... ishi maisha utakayo mueleze baba yako huwezi oa mke wa pili over
 
Makosa ndugu yangu ni yako mwenyewe. Wewe umeshaoa kitendo cha kumpeleka ex-girl friend wako kwendo ilikuwa kosa kubwa.
Cha msingi hapo ni kwamba utapata dhambi sana ukimuacha mke wako wa ndoa na ambaye hajakukosea wewe wala familia yako. Hiyo radhi anayokutishia baba yako ni dhambi kubwa kwake mwenyewe na wala mungu hayuko naye katika hili.
Chakufanya kwa sasa ni kuwa karibu sana na mkeo na pia ingawa ni ngumu lakini ikibidi jiweke mbali kidogo na familia yako. Huyo mpenzi wako wa zamani ni ibilisi mbaya sana hivyo kaa naye mbali iwezekanavyo.
 
Makosa ndugu yangu ni yako mwenyewe. Wewe umeshaoa kitendo cha kumpeleka ex-girl friend wako kwendo ilikuwa kosa kubwa.
Cha msingi hapo ni kwamba utapata dhambi sana ukimuacha mke wako wa ndoa na ambaye hajakukosea wewe wala familia yako. Hiyo radhi anayokutishia baba yako ni dhambi kubwa kwake mwenyewe na wala mungu hayuko naye katika hili.
Chakufanya kwa sasa ni kuwa karibu sana na mkeo na pia ingawa ni ngumu lakini ikibidi jiweke mbali kidogo na familia yako. Huyo mpenzi wako wa zamani ni ibilisi mbaya sana hivyo kaa naye mbali iwezekanavyo.
Asante
 
kosa la kwanza ulifanya kumpleka kwenu.. siyo muda wake sasahakuna radhi ya hivi hivi tu ..kama wewe hutaki ndoa nyingine embu acahana nayo hiyo.. mkeo wa kwanza ndiyo mke sahihi ... mkeo ni wako na si wa ndugu zako .... ishi maisha utakayo mueleze baba yako huwezi oa mke wa pili over
Asante
 
Tunza ndoa yako tu usideal na mambo ya nyumbani kwenu kuhusu mkeo, huwezi kupangiwa kila kitu only GOD can judge u na sio mzazi, waache neo-colonialism kwenye ndoa ya watu walipendana wenyewe sasahv umkatae mtoto wako wa kuzaa kisa kaoa mke sio. This is very shambastic father have never seen. Ulichokipanga na kukipenda kifanye na sio kulazimishwa na mtu sometime wazazi hapa ndo huwa siwapend utampangiaje mtoto wako mke wa kuoa? Inakuja kweli jipange kijana kwenye ndoa yako. Over!
 
Back
Top Bottom