King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,577
- 94,320
Kama Mange ameconfirm ndoa kweli imeangukia pua hapa nitachangia kama ifuatavyo.
Mwanamke huwa anabadilika kutokana na mazingira ,alivyompenda Richy mwanzoni ni tofauti na sasa ,amekutana na mwamba mpya akamspoil akaona Richy kama anacheza tu....Mashangazi yanawamwaga sana mariooz ,amemwaga mpiga picha wa shilole ,naona Shamsa Ford naye anatroti amwage kiben ten chake.
Mwanamke huwa anabadilika kutokana na mazingira ,alivyompenda Richy mwanzoni ni tofauti na sasa ,amekutana na mwamba mpya akamspoil akaona Richy kama anacheza tu....Mashangazi yanawamwaga sana mariooz ,amemwaga mpiga picha wa shilole ,naona Shamsa Ford naye anatroti amwage kiben ten chake.