Ndoa ya Flora (Mbasha) Kusweka yawa faraja kuu kwa single mothers

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Aug 28, 2016
8,660
15,745
Nimejaribu kufuatilia mitazamo na hisia za wanawake wangi walioachika au waliozalishwa na kutelekezwa na kugundua wamepokea vizuri sana tukio hilo na wanaliunga mkono kwa nguvu kubwa. Pia limeonekana kuwa tukio la faraja kwao kwani nao wana imani kuwa hakuna kikwazo cha wao kupata mume handsome kama aliyempata Flora. Tena kinachowazimisha zaidi ni kugundua kuwa mume wa Flora sio tu HB, bali pia ni msomi na mwenye kisu kirefu.

Kwa kweli Flora amefanyika faraja kuu sana kwa haw single mothers.

upload_2017-5-8_11-20-17.jpeg
 
Hata Vick kamata si aliolewa tena pamoja na kuwa na watoto 3!!
Wasikate tamaa, kila mwanaume ana malengo yake.
Mtu anayemdiss single Maza Labda awe yeye hajazalisha mwanamke mwingine tofauti na mkewe.
Kwa tuliokutana na Shida hizi, no kuwachukulia poa tu.

Tatizo linakuja pale mtu anapolazimisha ndoa na kugeuka singo Maza!! Ni Shida Sana. Pia wale wanaobeba mimba na kugeuza mtoto kama mtaji

Kuna wengine anakuja na kukwambia tu, " I like your character, nataka kuzaa na wewe".
Mtoto atamlea mwenyewe Labda wewe ukijisikia kusaidia.
 
Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu.....Amemuacha Muumba wake na kumfanya binadamu kuwa kinga yake!!!

Note: Wrong is wrong even if everybody's doing it.
 
Back
Top Bottom