yes wewe haunazo kabisaaaa bcoz
unalazimisha kitu mtu kamanya mwingine, na sioni tabu kama alifanya lolote as long as acc yangu ya coco ni yangu na hamna liye ingilia,
kwa akili yako ni kwamba niliandika then nikaposti, halafu nika copy
halafu nina hiyo account ya 😂 poker, so nikaingia nika paste na kuposti.. ili iweje haswaaaa!!!
ndio maana nasema u GT mtu kama wewe achia wengine...
halafu ujicheke kwa kutokuwa smati na pia hujui yanayowezekana humu... eti nashinda makapuku unajua hata huo uzi ulianzishwa kwa ajili ya akina nani eeeh na sababu ikawa hivyo
fekelo langu humu hata uroge hautalijua lipo vizuri miaka karibu na hii account. na sio korofi... ngoja niifufue kuandika humu tena...