Tetesi: Ndoa ya Ali Kamwe yaota mbawa

Tetesi: Ndoa ya Ali Kamwe yaota mbawa

Umbea tu 🤣🤣🤣🤣 ndoa yake inawahusu nini🚮
 
Kwani jamaa ana tatizo gani maana naskia hii ni ndoa ya pili au ya tatu. Ni bahati mbaya anaokota mabomu au ana tatizo mahali?
Wanaume wengi kwenye ndoa wanatombewa na wao wanatomba nje ila ukiingia kwenye ndoa na akili za kitoto kuachana na mume au mke ni suala la kugusa tu, waliokomaa wanatombewa sana na bado wanakomaa na ndoa zao usione watu wanaishi ndani ya ndoa wanavumiliana mengi mengi mengi sana likiwemo hilo la kutombewa na kusalitiwa nje, wakomavu wanasema kwani ni kitu gani wanaendelea na ndoa zao hivyo hivyo, ninao ushahidi wa kutosha tena kuna mwamba ni black totally ila mtoto aliejifungua mkewe ni muarabu watu kuuliza huyu kuarabu katokea wapi tena jamaa hana jibu maana na yeye ana list ndefu kazaa nje ya ndoa kwa hio ngoma draw maana akimbana mkewe atamwambia na wewe wale watoto uliozaa nje kule ilikuaje? Ndoa haiitaji watoto na wenye akili za kitoto, Kamwe bado akejaa utoto mwingi subiri kwanza utoto umtoke ndio aoe
 
Da mai kasema?

Acheni propaganda za kututoa kwenye Police brutality ya jana.

Si Ali Kamwe si mkewe ambaye yupo tayari kuachana na mwenzake.
 
Kabla ya kujadili ndoa zawatu muoe au muolewe kwanza.
Msije mka kufuru yakawakuta mabaya zaidi ya mwenzenu.
 
Mtu wa kazi nikipata kazi siachhi kazi na wakati sina kazi
 
Alikamwe amekaa kushabikia timu yake huku akisahau wajibu wake kwa mkewe bwana alikamwe anadai kuwa mkewe alimcheat

Ndoa sio kitu cha kukimbilia hovyohovyo ndoa hata miezi 3 haijaisha

Au mwanetu hapigi vizuri maana ad mke kaamua kumcheat maana ake alikamwe hajui kuipiga vizuvizuri nini?
Najua alikamwe umo humo bro hudhuria vikao vya wanaume wenzako.
View attachment 3472782
Kama ni kweli basi alioa malaya. Miezi mitatu hata kama hupigi mechi vizuri mwanamke hawezi kutoka nje ya ndoa.
 
Kwa hiyo Coco=Poker au imetokeaje hii? Comment moja muda uleule!!!

si mtu una copy paste.
au umetengeneza wewe na ku edit(hili nijibu unafikiri mie sina akili...pole)
maana sioni hiyo comment ya poker
 
Alikamwe amekaa kushabikia timu yake huku akisahau wajibu wake kwa mkewe bwana alikamwe anadai kuwa mkewe alimcheat

Ndoa sio kitu cha kukimbilia hovyohovyo ndoa hata miezi 3 haijaisha

Au mwanetu hapigi vizuri maana ad mke kaamua kumcheat maana ake alikamwe hajui kuipiga vizuvizuri nini?
Najua alikamwe umo humo bro hudhuria vikao vya wanaume wenzako.
View attachment 3472782
So what stupidity in jamii forums
 
Back
Top Bottom