Ndoa tamu ni ya mpenz wa kwanza

Ndoa tamu ni ya mpenz wa kwanza

Kakwambia nani kuwa bikira ndo haijui pesa!! kinachodumisha ndoa na mahusiano ni stability ya uchumi, ukiyumba kifedha ndo utajua kuwa hata malaya waliwahi kuwa na bikira ila ndo hivyo tena hawana tena hisia za mapenzi ya kweli.
 
Sidhani kama sex ni ishu sana. Sex ni matokeo baada ya matukio. Asilimia kubwa watu wanaoana baada ya uzinzi hivyo wengi huwa wanafahamiana kwenye ishu ya sex wakiingia ndani wanakutana na mengine mapya.

Ndoa nyingi zinazingua sababu ya fedha, majukumu na mazoea yaliyopitiliza kiasi cha kuhisi humuhitaji mwenzio mpaka mkiachana ndo unashtuka kumbe ulikatika.
 
Back
Top Bottom