Ndoa ni uvumilivu lakini inaweza kukaribisha umauti.

Huwez kuchukua sampo ya ndoa moja kuhalalisha ubaya wa ndoa, shetan amekutawala kias cha kuamini kuwa ndoa si kitu ili uwe mzinzi,

Ukatili wa mtu mmoja haimaanishi kila mmoja ni katili
Na usaliti wa mwanamke mmoja haihalalishi ujinga wa wanawake wote.

Ningekuona wa maana kama ungeeasisitiza wananandoa kuwa wazingatie mafundisho ya dini na kuwa na hofu ya Mungu wanapokuwa ktk ndoa zao

Mfano, usaliti ni kinyume cha maagizo ya Mungu ktk ndoa, na mshahara wa uahserat ktk ndoa ni mauti, pili kumsulubu mkeo kwa vipigo au ukatili ni kinyume pia cha maagizo ya ndoa

Biblia inasema, enyi wanaume wanaume wapenden wake zenu, na wanawake muwatii waume zetu

Hivyo mwanaume kumdhuru mkeo syo upendo na mke kumsalit mumeo syo utii


Ubaya wa ndoa moja hauhalalishi ubaya wa ndoa zote
Vipi hayo yakishindikana??

Ushauri wangu ni wa mwisho kabisa baada ya yote hayo kushindikana baba mchungaji
 
Samahani nipo nje ya mada kidogo.. Hv nyie wanaume wenzang mnawezaga vp kuwa na urafiki na wadada ad mnapigiana simu mskilize ubuyu wa clouds..
Mkuu ulitaka niseme ni mchumba,mke au helofrend ndio kaniambia nisikilize??

Sio lazima kuweka details za ukwel sehemu zote
 
Leo nimepokea msg kutoka kwa dada mmoja(rafiki wa karibu) akaniambia nitune clouds fm saa sita na nusu nisikilize mkasa uliopo..
Hizi ndoa zina balaa kubwa sana,kwa wale waliosikiliza najua watakubaliana na mimi lakini kama hujasikiliza ngoja nikupe hint kidogo-
Kwa kifupi mkasa upo hivi..kuna wanandoa wenye mtoto mmoja,kutokana na maelezo ya majirani wanandoa hao walikua ni watu wa ugomvi kila siku,kama miezi miwili iliyopita mwanaume alipiga simu kwa ndugu wa mke akitoa taarifa kuwa ana siku ya nne mkewe hajarudi nyumbani na akaonyesha msg aliyotumiwa na mkewe kuwa "naondoka nakuacha na mwanao naenda kufanya maisha yangu nimechoka".kesi ikafika polisi uchunguzi ukafanyika na wakabaini mzeebaba ndio kamuuwa mkewe hata ile msg mzeebaba alijitumia mwenyewe maana uchunguzi ulionyesha simu zilikua karibu sana wakati huo ujumbe unatumwa, iligundulika pia jamaaa alimchoma kwa magunia mawili ya mkaa mkewe akafukia majivu juu akamwaga zege.

Wanawake vumilieni ndoa zenu lakini ukiona mwenzako hasomeki rudi kwenu,uvumilivu unaweza kukupa umauti au kilema cha maisha.
Huu mkasa wa kusikitisha nimeufatilia toka jana katika kipindi cha HEKAHEKA-CLOUDS FM.BINADAMU TUMRUDIE MUNGU,Kweli inasikitisha sana.EE mungu naomba uzibariki ndoa zote watu wako waishi kwa upendo na kukutumikia wewe.TUKUMBUKE AMRI KUU YA MUNGU NI UPENDO.
 
He's such a monster.
Kuvumilia tunavumilia zaidi kwa ajili ya watoto. Hapo unakuta mwanaume anakwambia kama unaondoka ondoka mwenyewe niachie watoto wangu.
Hana uwezo wa kulea watoto na anaweza akaoa mke mwingine, na kama tunavyojua mama wa kambo walivyo.

Kama mama unawaza kabisa watoto wako watateseka unaamua kuvumilia kila kitu kwa sababu ya watoto wako. Matokeo yake ndiyo huwa namna hiyo. Hamna kitu kinachozidi upendo wa mama kwa mtoto.
I don't buy the argument eti unavumilia kwa ajili ya watoto. Sheria zipo go to Court omba custody and maintenance ya mtoto
 
Huu mkasa wa kusikitisha nimeufatilia toka jana katika kipindi cha HEKAHEKA-CLOUDS FM.BINADAMU TUMRUDIE MUNGU,Kweli inasikitisha sana.EE mungu naomba uzibariki ndoa zote watu wako waishi kwa upendo na kukutumikia wewe.TUKUMBUKE AMRI KUU YA MUNGU NI UPENDO.
Amen
 
Kwahiyo jamaa likamuua mke wake maana alikuwa hataki kuondoka licha ya kumpiga matukio,utakuta wamelipeleka na lenyewe gerezani kule walikowekwa matajiri akina rugemalira na seth
 
I don't buy the argument eti unavumilia kwa ajili ya watoto. Sheria zipo go to Court omba custody and maintenance ya mtoto
Tryna see where I asked anybody to specifically agree with me.
Nilichosema ni kwamba wanawake wengi kwenye ndoa wanavumilia kwa ajili ya watoto wao. And that's the truth.
Na sijasema kwa kufanya hivyo wapo sahihi au lah, nimesema kitu kilichopo na ninachokiona kwenye jamii iliyonizunguka. That's all.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom