Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,412
- 119,150
Kwa hiyo mama unajivika jukumu la U-Yesu. Unakufa kwaajili ya watoto wako na mbaya zaidi kifo hicho kinaleta maafa makubwa zaidi ya yale ambayo yangetokea kama ungewaacha walelewe na mama wa kamboHe's such a monster.
Kuvumilia tunavumilia zaidi kwa ajili ya watoto. Hapo unakuta mwanaume anakwambia kama unaondoka ondoka mwenyewe niachie watoto wangu.
Hana uwezo wa kulea watoto na anaweza akaoa mke mwingine, na kama tunavyojua mama wa kambo walivyo.
Kama mama unawaza kabisa watoto wako watateseka unaamua kuvumilia kila kitu kwa sababu ya watoto wako. Matokeo yake ndiyo huwa namna hiyo. Hamna kitu kinachozidi upendo wa mama kwa mtoto.