Ogopa mwanamke, Ogopa mwanamke nasema hivi, Ogopa mwanamke, yaani Mungu alisema tukae nao kwa akili, naongezea tukae nao kwa akili kama digidigi yaani.
Hapo ni Eva na vipi angekuwa yule Lilith hihihiiiii, ingekuwa balaa kubwa!.
Ndiyo maana juna jamii na imani hadi leo hiki kiumbe halipewi uhuru wala kuthaniniwa, itakuwa wanaepuka hizi figiri !.