NAMTUMBA
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,939
- 600
Utafiti umeonesha kwamba "ni NDOA pekee ndio shule ngumu sana kufaulu duniani" ndio maana unapewa cheti chake kwanza alafu mitihani yake unaenda kukabiliana baadae la sivyo ingeanza mitihani wengi wangetoroka shule na wachache saaana ndo wangefaulu kupata cheti.
Je wewe unaionaje ndoa yako?
Je wewe unaionaje ndoa yako?