Wewe si unaona watu humu wanasema eti wako kwenye ndoa lakini kutwa kucha humu wanaitana majina ya kimahaba na wenza wao wa kimtandao....halafu ukiwauliza kama wenza wao wa kikweli wanajua kama wamo humu wanasema hawajui!
Sasa hapo ukiongeza na mambo ya multiple IDs ndo inakuwa vurugu mechi tupu.