Ndoa kufungwa mwezi November mwaka huu

Ndoa kufungwa mwezi November mwaka huu

SUPER BRAND

Member
Joined
Feb 9, 2014
Posts
8
Reaction score
0
hi jf members!

Mimi ni kijana wa miaka 32,

Mwajiriwa mwenye shahada ya pili ya uchumi,

Mstaarabu,mtanashati,sinywi,sivuti,mrefu kiasi,najua nini maana ya kumpenda,kumtunza ,na kumjali msichana!

Natafuta msichana mrembo,

Elimu diploma level na kuendelea,awe mweupe kiasi,mrefu si sana,awe na shepu nzuri kwa maana ya makalio makubwa wastani,kifua cha wastani,ajue kuvaa modernly!awe na upendo wa kweli!.wenye sifa tajwa hapo juu na walio serious tu waniPM.
 
Ndoa sio lelemama mkuu. Haya kila la kheri
 
nahc kama kuna kamchezo hapa ila mh! acha 2one yamkini sivyo niwazavyo mimi mbona kama kuna m2 unafanana nae?samahan lakin
 
Hata mpenzi hajajulikana ushapanga ndoa lini au hicho cheti cha ndoa kuna mahali kinatakiwa?
 
hawana lolote hawa, naona wanataka pm zijae tu, lakn si waoaji!
 
hi jf members!

Mimi ni kijana wa miaka 32,

Mwajiriwa mwenye shahada ya pili ya uchumi,

Mstaarabu,mtanashati,sinywi,sivuti,mrefu kiasi,najua nini maana ya kumpenda,kumtunza ,na kumjali msichana!

Natafuta msichana mrembo,

Elimu diploma level na kuendelea,awe mweupe kiasi,mrefu si sana,awe na shepu nzuri kwa maana ya makalio makubwa wastani,kifua cha wastani,ajue kuvaa modernly!awe na upendo wa kweli!.wenye sifa tajwa hapo juu na walio serious tu waniPM.

ww ni muumin wa dini gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom