Najaribu kuwaza sana ulianzaje kuwauliza hao wanawake maswali?hapo unauchungu,hasira na mengineyo.vipi ulitumia njia ya kistaarabu kuzungumza nao au ndo hivyo tena…
Maana michepuko na yenyewe inamajibu yao ya kipuuzi sana ukiwaingilia vibaya
Tena ndio ukute mwanaume nae kichwa chake kimejaa uharo kamsimulia mchepuko matatizo yako(mke)mbona utajuta jamani😄😄michepuko,ukiingia kichwa kichwa unaangukia pua halafu unaishia kulia mwenyewe
Yaani unajutaTena ndio ukute mwanaume nae kichwa chake kimejaa uharo kamsimulia mchepuko matatizo yako(mke)mbona utajuta jamani
B dada acha hizo mamboUhai kwanza. Kuna mimba nyingine changamoto zinasumbua mno kama mtu anajua mwenza wake ana ujauzito halafu una changamoto bado unaendekeza sex hapana. Kama unampenda mwenzi wako na kujali afya yake utavumilia tu mpaka akae sawa.
Utajuta kwanaini ulimpigia simu.kiranga chote kitaishaYaani unajutautachambwa mpaka ulie
Ushauri wenu jamani mimi nimeolewa nipo kwenye ndoa hatujamaliza hata mwaka Ila kinachoniumiza mme Wangu ananisaliti, nimemkuta anamiliki simu ya Siri pamoja na line alikuwa kaficha kabatini baada ya kugombana naye akakubali kuwa ana mchepuko akampigia akaweka loud nikawa nawasikia akamuomba samahani kwa kumchezea akamwambia Mimi nimeoa, nina mke nmeona siyo vizuri kumsaliti mke wangu dada akalalamika we badae akakubali kumblock kidogo nikapata amani.
Baada ya hapo hiyo simu ya Siri akaweka mezani akatoka zake Ila kilichoniumiza zaidi baada ya lisaa zilikuwa zinaingia text kutoka no. tofauti tofauti 2 baada ya kuchart nao kumbe nao ni michepuko yake tena jumla nimemfuma na wanawake 3 kwa wakati mmoja.
Msamaha kaniomba Ila nashindwa kumsamehe, naumia sana Bora ningemkamata hata na mmoja nisingeumia sana Ila wa 3 ukitegemea ndoa haina hata mwaka nawaza sijui kalogwa, natamani nimshirikishe hata mchungaji wetu Ila napata wakati mgumu naona ni vitu vya aibu hata kushirikisha watu wetu wa karibu. Natamani niondoke Ila kinachonipa wakati mgumu tayari Mimi ni mjamzito yaani nawaza ingekuwa siyo hii mimba ningeachana nae ananifanya Hadi nakata tamaa na mimba niliyonayo kitu ambacho ni dhambi, Naombeni mnishauri nifanyaje nahisi kuchanganyikiwa nakosa maamuzi presha imeshuka naona Kama dunia imeniangukia kweli ndoa ni ngumu sana duh! Mungu anitie tu nguvu.
😜😜Ndo maana ukapigwa ban🙁
Ngoja nikwambie dada yangu mimi mimi sinaga mpango wa kuchepuka lakini kilicho nifanya nichepuke ni hivi nakaa na mke wangu week mara 2week sijamlamba maisha gani hayo. Tena ingekuwa bora kama anaumwa kwamba amelala kitandani. Unakuta mke anakumbia hajisikii kusex kweli? Unataka mtoto wa mwenzio nifanyeje kama sio kwenda kukutafutia wa kukusaidia?Ebu acha kutetea uovu kwa uovu. Haya wale wanaokuwepo jela wanatoaje hizo sperms zao au wao sio marijali? Ukiwa mgonjwa kitandani utazitoaje? Kujiendekeza tu kwani unafikiri wanawake ni magogo wao hawana ashki?. Kwahiyo mchepuko ndio kazi yake hiyo basi msitoe macho na nyie mkisaidiwa kipindi ambacho mnashindwa kuhudumia wake zenu.
Michepuko inavyojua kuchachafyaUtajuta kwanaini ulimpigia simu.kiranga chote kitaisha
Wewe acha utoto,pambana nae humohumo kwenye ndoaUshauri wenu jamani mimi nimeolewa nipo kwenye ndoa hatujamaliza hata mwaka Ila kinachoniumiza mme Wangu ananisaliti, nimemkuta anamiliki simu ya Siri pamoja na line alikuwa kaficha kabatini baada ya kugombana naye akakubali kuwa ana mchepuko akampigia akaweka loud nikawa nawasikia akamuomba samahani kwa kumchezea akamwambia Mimi nimeoa, nina mke nmeona siyo vizuri kumsaliti mke wangu dada akalalamika we badae akakubali kumblock kidogo nikapata amani.
Baada ya hapo hiyo simu ya Siri akaweka mezani akatoka zake Ila kilichoniumiza zaidi baada ya lisaa zilikuwa zinaingia text kutoka no. tofauti tofauti 2 baada ya kuchart nao kumbe nao ni michepuko yake tena jumla nimemfuma na wanawake 3 kwa wakati mmoja.
Msamaha kaniomba Ila nashindwa kumsamehe, naumia sana Bora ningemkamata hata na mmoja nisingeumia sana Ila wa 3 ukitegemea ndoa haina hata mwaka nawaza sijui kalogwa, natamani nimshirikishe hata mchungaji wetu Ila napata wakati mgumu naona ni vitu vya aibu hata kushirikisha watu wetu wa karibu. Natamani niondoke Ila kinachonipa wakati mgumu tayari Mimi ni mjamzito yaani nawaza ingekuwa siyo hii mimba ningeachana nae ananifanya Hadi nakata tamaa na mimba niliyonayo kitu ambacho ni dhambi, Naombeni mnishauri nifanyaje nahisi kuchanganyikiwa nakosa maamuzi presha imeshuka naona Kama dunia imeniangukia kweli ndoa ni ngumu sana duh! Mungu anitie tu nguvu.
Labda ha-enjoy. Kila kitu kinaanzia kichwani wewe kaa na mkeo vizuri umuulize unakosea wapi anaweza funguka ukayafanyia kazi hayo aliyokwambia. Shida yetu waswahili hatupendi kuongeaNgoja nikwambie dada yangu mimi mimi sinaga mpango wa kuchepuka lakini kilicho nifanya nichepuke ni hivi nakaa na mke wangu week mara 2week sijamlamba maisha gani hayo. Tena ingekuwa bora kama anaumwa kwamba amelala kitandani. Unakuta mke anakumbia hajisikii kusex kweli? Unataka mtoto wa mwenzio nifanyeje kama sio kwenda kukutafutia wa kukusaidia?
Wewe wanaume ndio walivyo mbona hao 3 wadogo sana unategemea ukiondoka utakapo enda ukikutana na hayo uondoke Tena acha utoto ww ndoa ngumu Kama hunyanyasiki we vumilia tu mbona mumeo anakuheshimu sana mpaka kaficha line sie line hua zipo kwenye simu tuuUshauri wenu jamani mimi nimeolewa nipo kwenye ndoa hatujamaliza hata mwaka Ila kinachoniumiza mme Wangu ananisaliti, nimemkuta anamiliki simu ya Siri pamoja na line alikuwa kaficha kabatini baada ya kugombana naye akakubali kuwa ana mchepuko akampigia akaweka loud nikawa nawasikia akamuomba samahani kwa kumchezea akamwambia Mimi nimeoa, nina mke nmeona siyo vizuri kumsaliti mke wangu dada akalalamika we badae akakubali kumblock kidogo nikapata amani.
Baada ya hapo hiyo simu ya Siri akaweka mezani akatoka zake Ila kilichoniumiza zaidi baada ya lisaa zilikuwa zinaingia text kutoka no. tofauti tofauti 2 baada ya kuchart nao kumbe nao ni michepuko yake tena jumla nimemfuma na wanawake 3 kwa wakati mmoja.
Msamaha kaniomba Ila nashindwa kumsamehe, naumia sana Bora ningemkamata hata na mmoja nisingeumia sana Ila wa 3 ukitegemea ndoa haina hata mwaka nawaza sijui kalogwa, natamani nimshirikishe hata mchungaji wetu Ila napata wakati mgumu naona ni vitu vya aibu hata kushirikisha watu wetu wa karibu. Natamani niondoke Ila kinachonipa wakati mgumu tayari Mimi ni mjamzito yaani nawaza ingekuwa siyo hii mimba ningeachana nae ananifanya Hadi nakata tamaa na mimba niliyonayo kitu ambacho ni dhambi, Naombeni mnishauri nifanyaje nahisi kuchanganyikiwa nakosa maamuzi presha imeshuka naona Kama dunia imeniangukia kweli ndoa ni ngumu sana duh! Mungu anitie tu nguvu.
Mwingine utamsikia kwani huli ukashiba!!akiwa ndani wako akitoka wetu.kha!!ujauzito unaweza kutokaMichepuko inavyojua kuchachafya,,,halafu wanamajibu yao eti"mumeo alinitongoza mwenyewe sikumtongoza
Wewe kila kilichozuiliwa na dini hukifanyi? Huyo dada mshauri apate talaka uone kama atapata malaika wake peke yakeBibie chukua huu ushauri, omba talaka. Kuna mambo hayavumiliki bibie nayo ni ushirikina na uzinifu. Chukulia wewe ungekuwa na michepuko na yeye akakufuma hali ingekuwaje ? Sasa msiwe wajinga kiasi hicho.
Kingine kaa ukijua hayo ni malipo ya mikono huenda kuna sehemu ulikosea tangu mwanzo, aidha kitabia au ulimfanyia mtu ubaya kabla ya kuwa na huyo mumeo.
Hawa wanaosema suala la sisi wanaume kuchepuka ni jambo la kawaida huko ni kujiendekeza na uzembe, jambo mpaka limekatazwa na dini ujue kwamba tunaweza kujizuia kutolifanya.
Mwingine utamsikia kwani huli ukashiba!!akiwa ndani wako akitoka wetu.kha!!ujauzito unaweza kutoka
Mkuu inawezekana humkuni vizuri.hebu zungumza nae maana mapenzi nayo ni hisia ujue..Akianza kuvuta hisia za Jana namna alivyoandaliwa,style aliyowekwa,macho alivyolegezewa,namna alivyokunjwa…hivi atakataaje kirahisi kupiga game!Ngoja nikwambie dada yangu mimi mimi sinaga mpango wa kuchepuka lakini kilicho nifanya nichepuke ni hivi nakaa na mke wangu week mara 2week sijamlamba maisha gani hayo. Tena ingekuwa bora kama anaumwa kwamba amelala kitandani. Unakuta mke anakumbia hajisikii kusex kweli? Unataka mtoto wa mwenzio nifanyeje kama sio kwenda kukutafutia wa kukusaidia?