Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Huko chuo atakwenda na mwanae..?? Kwa kumwacha mwanae home au kwa bibi kutamfanya huko chuo asifanye vizuri...hii kali ya kufunga mwaka .tafuta chuo mbali mwambie unataka ukasome kama mwaka hivi umuachie waumini wake hapo
watu 15 nani anasonga ugali?
HUYU ANATAKIWA AFANYE HAYA..
1. Atafute watu wazima awaeleze hali halisi
2. Hao watu wazima waende kwa wazazi wa mume na kuwaeleza namna ambavyo ndugu watasidiwa wakiwa makwao
3. Hao watu wazima waseme na mumewe juu ya kuwasaidia ndugu wakiwa kwao
4. Bila shaka wazazi na mume wanaweza wakagoma wazo hilo. Sasa hapo hata akiondoka kwenda kupanga roho inweza isimsute.