Ndo nimeajiriwa kwa huu mshahara, nipeni mbinu za kufanya nitoboe ndani ya huu mwaka

Shukran sana mkuu ....nakufata pm🙏
 
🙏....Please Naomba specific analysis
Yan nasave % ngap, nainvest % ngap.
Na kama nainvest nainvest kwenye nini inayohitaji minimum supervision?
Ili kupata analysis nzuri kuna info kuhusu matumizi yako ya msingi ambayo ni must ni kiasi gani then from there utajua unabakia na kiasi gani or asilimia ngapi for saving, naweza sema save 80% kumbe 20% haitoshi expenses zako za msingi.

Unaweza kuwekeza kwa kununua hisa, weka fixed deposit kama uko busy na huhitaji supervision. Otherwise angalia potential kwenye eneo unalotaka kufangua biashara then utaamua iwe ni biashara gani
 
.....kutoboa ndani mwaka huu ? Hapa sijaelewa....why meakacmmoja tu ? Weka malengo muda mfupi na mrefu endelea kuishi kwa malengo.....watu wana zaidi huo na mwala 20 sasa bado hakijaeleweka kivile....hiyo ni safariii
 
Huwezi toboa ndani ya mwaka labda sikio, Oa tunza wazazi wavute wadogo zako vaa vizuri pendeza tukutane Kidimbwi tupande juu ya meza tukicheza miso misondo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…