Mhindi kazuia mshahara wangu wa mwezi uliopita kisa sijaenda kazini siku 3 za mwezi huu kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu

Poluyakhtov

JF-Expert Member
May 9, 2017
353
296
Habari za muda huu wanajukwaa,Mimi nikiwa kijana wa kiume Mtanzania ambaye nimejitoa kwa moyo mmoja kufanya kazi ya kukesha usiku kuwalinda wenye nazo ili nipate walau pesa ya kujisomesha mwaka huu,Nimefadhaika baada ya kuletewa ripoti na Cash vendors wa kampuni hii ya ulinzi kuwa mshahara wangu umezuiwa mpaka muda usiojulikana kutokana na kushindwa kuhudhuria kazini kuanzia tarehe 1 mpaka 4 ya mwezi huu(sijahudhuria siku mbili kwani huwa tunafanya kazi saa 24).

Nimewauliza kuhusu uwezekano wa kwenda ofisini kufuatilia,ajabu nimeambiwa kuwa nisijisumbue kwani sitasaidiwa,Kampuni itatoa siku ikiamua.

Sasa wanajukwa naomba ushauri wenu juu ya hili,ni sehemu gani ya kisheria naweza kwenda kufikisha malalamiko yangu?.
Najua nikipata sehemu ya kuelezea haya masuala,pia hata mambo ya NSSF naweza kusaidiwa.Hii ni kwa sababu tangu nianze kazi ID yangu ni Uniform tu,mkataba hata nakala yake sikupewa.
Mbaya zaidi hapa kodi ya chumba inahitajika kesho.Naombeni ushauri wenu wakuu.

Thanks in advance.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za muda huu wanajukwaa,Mimi nikiwa kijana wa kiume Mtanzania ambaye nimejitoa kwa moyo mmoja kufanya kazi ya kukesha usiku kuwalinda wenye nazo ili nipate walau pesa ya kujisomesha mwaka huu,Nimefadhaika baada ya kuletewa ripoti na Cash vendors wa kampuni hii ya ulinzi kuwa mshahara wangu umezuiwa mpaka muda usiojulikana kutokana na kushindwa kuhudhuria kazini kuanzia tarehe 1 mpaka 4 ya mwezi huu(sijahudhuria siku mbili kwani huwa tunafanya kazi saa 24).

Nimewauliza kuhusu uwezekano wa kwenda ofisini kufuatilia,ajabu nimeambiwa kuwa nisijisumbue kwani sitasaidiwa,Kampuni itatoa siku ikiamua.

Sasa wanajukwa naomba ushauri wenu juu ya hili,ni sehemu gani ya kisheria naweza kwenda kufikisha malalamiko yangu?.
Najua nikipata sehemu ya kuelezea haya masuala,pia hata mambo ya NSSF naweza kusaidiwa.Hii ni kwa sababu tangu nianze kazi ID yangu ni Uniform tu,mkataba hata nakala yake sikupewa.
Mbaya zaidi hapa kodi ya chumba inahitajika kesho.Naombeni ushauri wenu wakuu.

Thanks in advance.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pole Sana, nipm
 
Huyo dawa yake ndogo tu km ni muhindi mwenyewe mpe vitasa vya maan afu wahi polisi kumshtaki tu.

Lkn na ww kwann hukutoa taarifa kazini kama utashidwa kwenda lindo huko site yako.?
 
Huyo dawa yake ndogo tu km ni muhindi mwenyewe mpe vitasa vya maan afu wahi polisi kumshtaki tu.

Lkn na ww kwann hukutoa taarifa kazini kama utashidwa kwenda lindo huko site yako.?
Mkuu hii kampuni haijui kitu kinachoitwa dharura,uwe mgonjwa au umefiwa wao hawalitambui hilo,ni mwendo wa kukulima tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hii kampuni haijui kitu kinachoitwa dharura,uwe mgonjwa au umefiwa wao hawalitambui hilo,ni mwendo wa kukulima tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo sio kazi ni utumwa kwanza wanakiuka sheria za kazi za nchi na za kimataifa...

Ila ili kesi inoge ungemtafuta muhindi mwenyewe ofisini mpe kerebu za maana then chomoka mbio wahi polisi kamshtaki sasa then mahakamani.
watakulipa wanasheria siku hizi wapo wengi hakika utapata msaada.
 
Hiyo sio kazi ni utumwa kwanza wanakiuka sheria za kazi za nchi na za kimataifa...

Ila ili kesi inoge ungemtafuta muhindi mwenyewe ofisini mpe kerebu za maana then chomoka mbio wahi polisi kamshtaki sasa then mahakamani.
watakulipa wanasheria siku hizi wapo wengi hakika utapata msaada.
Ngoja nikamvae tu,yaani hapa njaa kali,ila sina namna nitatembea kutoka huku Kivukoni mpaka Upanga na jua lote hili,najua yupo na firearm ila liwalo na liwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom