Hongera zako bibie...
Mi mwenzio safari zangu ni za Gmboto -mnazi mmoja...Nikipata zali labda nimealikwa Tegeta Kibaoni kwa mtu fudenge humu..!! Kila la heri bidada..!!
Hongera zako bibie...
Mi mwenzio safari zangu ni za Gmboto -mnazi mmoja...Nikipata zali labda nimealikwa Tegeta Kibaoni kwa mtu fudenge humu..!! Kila la heri bidada..!!
Sasa ngoja kila mtu aanze kusema alipo, lol..
....mie nipo hapa kibanda maiti, nilivyokuja na "Flying Horse" nilitapikaje!!
...nikupongeze Kasinde kwa kukwea pipa..
Kweli mkuu,ubaguzi upo tena sana,sema watu wakirudi hawataki kusimulia wasiaibike,kuna jamaa yangu
hizi trip za kualikwa kimakundi,yeye familia aliyopangiwa kukaa ilikuwa inambagua kiasi kwamba
mpaka kuoga alikuwa anaandaliwa kwenye bafu ambayo baadaye aligundua walikuwa wanaogeshea mbwa wao.
akalazimisha kuhamishwa.
Ni kweli ni bahati,kuna mambo ya kupata visa ambayo sometime ni shida,kuna nauli na unaenda kwa nani so ukipata vyote hivyo inakuwa ni bahati kweli maana mtu unakuwa unafanya UTALII hilo ni neno geni kwetu.Hata ulaya na Marekani kuna raia wanatamani kutembelea nchi nyingine ila na wao wanapata changamoto zao so wanafanikiwa wanasema wamebahatika....labda kama kuna hoja tofauti na hiyo