Ndizi bukoba zinaongeza fluid?

Badili badili inaweza sababisha upate uambukizo wa magonjwa ya kuambukiza kwa njia ya kujamiiana(STD'I) kwa mfano chlamydia and gonorrhea ,ingawa sometime huwa dalili hizi hazijionyeshi ,pia Bacterial vaginosis(huu sio ugonjwa wa kuambukizwa) husababisha pia mucus kuongezeka
wewe hujasema hiyo fluid yako ikoje .kawaida vaginal mucus inatofautiana kati ya mwanamke mmoja na mwingine .kama ina harufu ambayo si ya kawaida ni vizuri ukaenda hosp kwa vipimo.

Mbona mnanikomalia? I ve said mimi mwanaume. Sasa fluid yangu imetoka wapi? Please may you read the topic. Its something I have heard somewhere and im asking to get more knowledge!
 
Mtoa mada mdau huyu aliyechangia kwa kusema nyanya chungu ndio kakupa jibu sahihi,wahaya wanakula sana nyanya chungu toka utotoni na nyanya chungu hizo zina faida na hasara kwao,kwa wote husaidia sana kuzuia kansa mbalimbali ndio maana ukienda ocean road hakuna idadi kubwa ya wahaya wenye kansa,kwa wanawake huongeza maji kwenye K ndio maana wana maji sana kina koku...wanasema ukichemsha nyanya chungu ukiiminya inatoa maji mengi na k ndio huwa hivyo hivyo.Sasa basi kwa vile zile ndizi bukoba hupenda kuzichanganya na nyanya chungu,maharage na samaki ndio maana ukaambiwa ndizi bukoba huongeza maji ila kiukweli NYANYA CHUNGU ndio huongeza maji.
Nyanya chungu + ndizi (matoke) + amaizi agarungi (majani) = Fluid. nyegera bhojo.
 
Hii hoja haina mshiko na ni ya kufikiria/tetesi zaidi kuliko kisayansi.

Sasa unajua mwenzio akisikia tetesi na kuuliza ili kupata uthibitisho wewe uka~refute kwa maneno matupu unakuwa worse zaidi!
 
Mods please msihamishe hii mana huko mnapopeleka sina access!
Sasa nauliza, ndizi bukoba inaongeza vaginal fluid? Mana there z friend of mine 4rm bukoba alinidokeza kuwa zinachangia sana ndo mana wanawake wakule si haba katika swala zima la maji! Somebody with knowledge, experience? Kuna namna ya kupunguza maji?

Namkumbuka sana jamaa yangu mmoja miaka ile ya 80 alikuwa anaielezea sana hiyo KATERELO! Sikujua kuwa inatokana na ndizi Bukoba. Inawezekana ni kweli. Pia nasikia zinaongeza na USAFIRI! Maana usafiri wa KIHAYA si haba, miguu ya akinadada imejaza sana. Ni maji hayo?

 
inawezakana maana hawa wa huku kati,north,east hata usugue vipi maji hakuna
 
Namkumbuka sana jamaa yangu mmoja miaka ile ya 80 alikuwa anaielezea sana hiyo KATERELO! Sikujua kuwa inatokana na ndizi Bukoba. Inawezekana ni kweli. Pia nasikia zinaongeza na USAFIRI! Maana usafiri wa KIHAYA si haba, miguu ya akinadada imejaza sana. Ni maji hayo?


Nazidi kupata vitu hapa, miguu haijambo, hilo nimeprove!
 
Ni kweli zinaongeza maji maji ukeni..kuna jamaa alisafiri kwenda bukuba akafikia gest house,kwenye vitanda wameweka nailon chini ya shuka ili wateja wakifanya mambo yao godoro lisilowe..tht means ndo nature ya jamii ya eneo hilo.Hongera kwa kazi
 
Ni kweli zinaongeza maji maji ukeni..kuna jamaa alisafiri kwenda bukuba akafikia gest house,kwenye vitanda wameweka nailon chini ya shuka ili wateja wakifanya mambo yao godoro lisilowe..tht means ndo nature ya jamii ya eneo hilo.Hongera kwa kazi


Sasa hiyo ya lailoni balaa, khaa!
 
Back
Top Bottom