Ndiyo mzee: Slogan mpya CHADEMA

Ndiyo mzee: Slogan mpya CHADEMA

October 28,2015

MATOKEO
Edward N. Lowassa-59.20%
John P. J. Maguful-39.97%
OTHERS; ..............
JK: Haya ndo matokeo?
LUBUVA: NDIO MZEE
 
ESCROW na suala la katiba lisisemwe jatika kampeni za CCM NDIYO MZEEEEEEE..!
 
NDIYO MZEE: SLOGAN MPYA CHADEMA.

Kabourou ni msaliti bila uchunguzi wowote wanachama wote wakasema NDIYO MZEE

2007: Lowasa FISADI kama anabisha aende Mahakamani- NDIYO MZEE FISADI

2007: LOWASA YUPO KWENYE LIST OF SHAME: NDIYO MZEE YUPO NA HATUFAI

2014: Zitto ni YUDA - NDIYO MZEE ZITTO NI YUDA

2015 February: LOWASA NI DHAIFU - NDIYO MZEE

2015 February: Hatuchukui makapi ya CCM - NDIYO MZEE HATUCHUKUI

2015 June: CCM MSIMCHAGUE FISADI TUNAFAILI TUMEMUANDALIA- NDIYO MZEE TUTALIFUNGUA FAILI

2015 JULY: LOWASA KARIBU UKAWA - NDIYO MZEE KARIBU

2015 JULY: LOWASA KARIBU CHADEMA, LOWASA JEMBE - NDIYO MZEE LOWASA JEMBE

2015 JULY: SLAA AMEOMBA KUPUMZIKA- NDIYO MZEE APEWE MAPUMZIKO

2015 August Lowasa si FISADI mwenye ushahidi aende mahakamani- NDIYO MZEE MWENYE USHAHIDI AENDE MAHAKAMANI

2015 SEPTEMBA - SLAA AFUNGUKA KUHUSU UFISADI WA LOWASA- SLAA DHAIFU, AMENUNULIWA, MSALITI - NDIYO MZEE

ENDELEENI KUWA NDIYO MZEE NA HAMTAWEZA KUTUMIA AKILI ZENU KAMWE KWASABABU MMEJIFUNZA KUITIKIA VIBWAGIZO NDIYO MZEE.

hata mxeme lowasa ni shoga tuna xema ndio mzee na tare 25/10 tuna mchagua maana ccm wote ni malaika ila ukawa mashetan xaxa mwaka huu wanachi tumeamua kumpa huyo huyo fixad,mgonjwa,na majina mengine utaongezea ila cc ndio tuna mchagua huyo huyo na ukawaambie walio kutuma kuwa wanamabadiliko hawasikii hizo propaganda zenu ni xawa na kumpigia mbuz gitaa zimefeli jiandaeni tu kisaikolojia kuwa chama pinzani maana hamna namna tutawachinja tyu tena bila huruma mmetuburuza vya kutosha baada muuze xera wananchi tuwaelew xera mmeishiwa mmebaki kumchafua lowasa na mtasema yote mwaka huu maana kila mnalo lifanya halifanikiw.
 
Mafisadi ya chadema unayaumiza kweli kwa maneno kama haya.
dah chadema wamekuwa mafisadi leo? dah , yaani unanitia hasira sana. ila 25/10 siyo mbali tutajua nani ni nani.
mimi kama raia sina shida na magufuli wala lowasa. nina adui mmoja tu naye ni CCM period.

Lazima atoke: NDIYO MZEE
 
October 28,2015

MATOKEO
Edward N. Lowassa-59.20%
John P. J. Maguful-39.97%
OTHERS; ..............
JK: Haya ndo matokeo?
LUBUVA: NDIO MZEE

Msije kukimbia jukwaa tu ifikapo November na analysis zenu za ushindi wa mitandaoni
 
Ndiyo mzee, mtasema hadi mnzeeka, poleni sana.
 
NDIYO MZEE: SLOGAN MPYA CHADEMA.

Kabourou ni msaliti bila uchunguzi wowote wanachama wote wakasema NDIYO MZEE

2007: Lowasa FISADI kama anabisha aende Mahakamani- NDIYO MZEE FISADI

2007: LOWASA YUPO KWENYE LIST OF SHAME: NDIYO MZEE YUPO NA HATUFAI

2014: Zitto ni YUDA - NDIYO MZEE ZITTO NI YUDA

2015 February: LOWASA NI DHAIFU - NDIYO MZEE

2015 February: Hatuchukui makapi ya CCM - NDIYO MZEE HATUCHUKUI

2015 June: CCM MSIMCHAGUE FISADI TUNAFAILI TUMEMUANDALIA- NDIYO MZEE TUTALIFUNGUA FAILI

2015 JULY: LOWASA KARIBU UKAWA - NDIYO MZEE KARIBU

2015 JULY: LOWASA KARIBU CHADEMA, LOWASA JEMBE - NDIYO MZEE LOWASA JEMBE

2015 JULY: SLAA AMEOMBA KUPUMZIKA- NDIYO MZEE APEWE MAPUMZIKO

2015 August Lowasa si FISADI mwenye ushahidi aende mahakamani- NDIYO MZEE MWENYE USHAHIDI AENDE MAHAKAMANI

2015 SEPTEMBA - SLAA AFUNGUKA KUHUSU UFISADI WA LOWASA- SLAA DHAIFU, AMENUNULIWA, MSALITI - NDIYO MZEE

ENDELEENI KUWA NDIYO MZEE NA HAMTAWEZA KUTUMIA AKILI ZENU KAMWE KWASABABU MMEJIFUNZA KUITIKIA VIBWAGIZO NDIYO MZEE.

Yaani ni majanga tu huko chadema
 
Alafu wafuasi wote wa Lowassa wana mihemuko kama babu yao ...kidogo utasikia matusi, na upuuzi wote, wanaomfata hawana hata uwezo wa kuhoji wala kujihoji ..ni kama maroboti fulani hivi ...sasa tunawashauri, mkiamua kupanic shauri lenu, mkiamua kujeruhi shauri lenu, mkiamua kutukana mpaka wazazi wenu shauri lenu pia ila siku ya matokeo mkaangalie wenyewe wala msiwatume majirani zenu kwa maana mara hii yatabandikwa kweupee ili muelewe mbwembwe hazina mchango wowote na hazitakiwi popote
 
hawa wanachama ni jamii ya watu wanaomini kuwa kila lisemwalo na viongozi wao ni sahihi, hawana upeo wa kutafakari wala kupinga jambo lolote toka kwa viongozi wao, sijui wamelishwa nini

viongozi wa siasa wanalenga kuingia madarakani bila kujalisha mwananchi atapata faida gani baada ya wao kuingia madarakani

jukumu lako mwananchi ni kupima ukweli wa maneno yao kabla ya kuwapa kura yako kisha uangalie kama utapata faida au hasara gani kwa kuwapa kura yako.

Jiulize kama upo tayari kumchagua mpiga dili maarufu anayetumia pesa za chama chake kulipia madeni yake bianfsi
Je, upo tayari kumpa kura yako mtu mwenye afya dhaifu na mtovu wa maadili?
Je upo tayari kumpa kura yako mtu aliyekataliwa na Marais wote waliopita kwa kuhofia majanga ya utawala wake kwa raia?
Je upo tayari kumpa kura yako mtu anayelazimisha kuingia ikulu hata kama kwa kuinunua kwa mabilioni ya shilingi?

Ukisha jiuliza haya najua utatoka na jibu la kumchagua kiongozi mzalendo wa kweli ambaye hajatumia hata senti moja kuhonga wananchi wake ili wamchague

kura yako sahihi itaenda kwa John Magufuli
 
hawa wanachama ni jamii ya watu wanaomini kuwa kila lisemwalo na viongozi wao ni sahihi, hawana upeo wa kutafakari wala kupinga jambo lolote toka kwa viongozi wao, sijui wamelishwa nini

viongozi wa siasa wanalenga kuingia madarakani bila kujalisha mwananchi atapata faida gani baada ya wao kuingia madarakani

jukumu lako mwananchi ni kupima ukweli wa maneno yao kabla ya kuwapa kura yako kisha uangalie kama utapata faida au hasara gani kwa kuwapa kura yako.

Jiulize kama upo tayari kumchagua mpiga dili maarufu anayetumia pesa za chama chake kulipia madeni yake bianfsi
Je, upo tayari kumpa kura yako mtu mwenye afya dhaifu na mtovu wa maadili?
Je upo tayari kumpa kura yako mtu aliyekataliwa na Marais wote waliopita kwa kuhofia majanga ya utawala wake kwa raia?
Je upo tayari kumpa kura yako mtu anayelazimisha kuingia ikulu hata kama kwa kuinunua kwa mabilioni ya shilingi?

Ukisha jiuliza haya najua utatoka na jibu la kumchagua kiongozi mzalendo wa kweli ambaye hajatumia hata senti moja kuhonga wananchi wake ili wamchague

kura yako sahihi itaenda kwa John Magufuli

Akili zimekujaa kaka. Hapa kazi tu!
 
Magufuli amesema Chenge msafi,Ndiyo mzee.ccm ni mafyaka
 
NDIYO MZEE: SLOGAN MPYA CHADEMA.

Kabourou ni msaliti bila uchunguzi wowote wanachama wote wakasema NDIYO MZEE
#Hapa kwenzi tu#

2007: Lowasa FISADI kama anabisha aende Mahakamani- NDIYO MZEE FISADI

2007: LOWASA YUPO KWENYE LIST OF SHAME: NDIYO MZEE YUPO NA HATUFAI

2014: Zitto ni YUDA - NDIYO MZEE ZITTO NI YUDA

2015 February: LOWASA NI DHAIFU - NDIYO MZEE

2015 February: Hatuchukui makapi ya CCM - NDIYO MZEE HATUCHUKUI

2015 June: CCM MSIMCHAGUE FISADI TUNAFAILI TUMEMUANDALIA- NDIYO MZEE TUTALIFUNGUA FAILI

2015 JULY: LOWASA KARIBU UKAWA - NDIYO MZEE KARIBU

2015 JULY: LOWASA KARIBU CHADEMA, LOWASA JEMBE - NDIYO MZEE LOWASA JEMBE

2015 JULY: SLAA AMEOMBA KUPUMZIKA- NDIYO MZEE APEWE MAPUMZIKO

2015 August Lowasa si FISADI mwenye ushahidi aende mahakamani- NDIYO MZEE MWENYE USHAHIDI AENDE MAHAKAMANI

2015 SEPTEMBA - SLAA AFUNGUKA KUHUSU UFISADI WA LOWASA- SLAA DHAIFU, AMENUNULIWA, MSALITI - NDIYO MZEE

ENDELEENI KUWA NDIYO MZEE NA HAMTAWEZA KUTUMIA AKILI ZENU KAMWE KWASABABU MMEJIFUNZA KUITIKIA VIBWAGIZO NDIYO MZEE.
#hapakwenzitu#
 
Back
Top Bottom