Ndiyo mzee: Slogan mpya CHADEMA

Ndiyo mzee: Slogan mpya CHADEMA

Mtasema sana, kwetu kasi ni ile ile.....
 
Ok,october 25,ndo watatambua maana ya HAPA NI KAZI TU


IMG-20150912-WA0004.jpg

:hurt:
 
Wenye akili timamu wote hawawezi kuwa chadema,kule ni dili tu
 
Udini na ukanda hauna nafasi ktk uchaguzi huu.
 
NDIYO MZEE: SLOGAN MPYA CHADEMA.

Kabourou ni msaliti bila uchunguzi wowote wanachama wote wakasema NDIYO MZEE

2007: Lowasa FISADI kama anabisha aende Mahakamani- NDIYO MZEE FISADI

2007: LOWASA YUPO KWENYE LIST OF SHAME: NDIYO MZEE YUPO NA HATUFAI

2014: Zitto ni YUDA - NDIYO MZEE ZITTO NI YUDA

2015 February: LOWASA NI DHAIFU - NDIYO MZEE

2015 February: Hatuchukui makapi ya CCM - NDIYO MZEE HATUCHUKUI

2015 June: CCM MSIMCHAGUE FISADI TUNAFAILI TUMEMUANDALIA- NDIYO MZEE TUTALIFUNGUA FAILI

2015 JULY: LOWASA KARIBU UKAWA - NDIYO MZEE KARIBU

2015 JULY: LOWASA KARIBU CHADEMA, LOWASA JEMBE - NDIYO MZEE LOWASA JEMBE

2015 JULY: SLAA AMEOMBA KUPUMZIKA- NDIYO MZEE APEWE MAPUMZIKO

2015 August Lowasa si FISADI mwenye ushahidi aende mahakamani- NDIYO MZEE MWENYE USHAHIDI AENDE MAHAKAMANI

2015 SEPTEMBA - SLAA AFUNGUKA KUHUSU UFISADI WA LOWASA- SLAA DHAIFU, AMENUNULIWA, MSALITI - NDIYO MZEE

ENDELEENI KUWA NDIYO MZEE NA HAMTAWEZA KUTUMIA AKILI ZENU KAMWE KWASABABU MMEJIFUNZA KUITIKIA VIBWAGIZO NDIYO MZEE.

Kutafuta kura makanisani na misikitini bila sera -ndio mzee
 
Mchaguen Lowasa Ndio Mzee Tutamchagua Tukutane October 25
 
NDIYO MZEE: SLOGAN MPYA CHADEMA.

Kabourou ni msaliti bila uchunguzi wowote wanachama wote wakasema NDIYO MZEE

2007: Lowasa FISADI kama anabisha aende Mahakamani- NDIYO MZEE FISADI

2007: LOWASA YUPO KWENYE LIST OF SHAME: NDIYO MZEE YUPO NA HATUFAI

2014: Zitto ni YUDA - NDIYO MZEE ZITTO NI YUDA

2015 February: LOWASA NI DHAIFU - NDIYO MZEE

2015 February: Hatuchukui makapi ya CCM - NDIYO MZEE HATUCHUKUI

2015 June: CCM MSIMCHAGUE FISADI TUNAFAILI TUMEMUANDALIA- NDIYO MZEE TUTALIFUNGUA FAILI

2015 JULY: LOWASA KARIBU UKAWA - NDIYO MZEE KARIBU

2015 JULY: LOWASA KARIBU CHADEMA, LOWASA JEMBE - NDIYO MZEE LOWASA JEMBE

2015 JULY: SLAA AMEOMBA KUPUMZIKA- NDIYO MZEE APEWE MAPUMZIKO

2015 August Lowasa si FISADI mwenye ushahidi aende mahakamani- NDIYO MZEE MWENYE USHAHIDI AENDE MAHAKAMANI

2015 SEPTEMBA - SLAA AFUNGUKA KUHUSU UFISADI WA LOWASA- SLAA DHAIFU, AMENUNULIWA, MSALITI - NDIYO MZEE

ENDELEENI KUWA NDIYO MZEE NA HAMTAWEZA KUTUMIA AKILI ZENU KAMWE KWASABABU MMEJIFUNZA KUITIKIA VIBWAGIZO NDIYO MZEE.

Mbona we umeendelea na kibwagizo cha kidumu chama cha mafisado ukasema kidumu
Nawe toka ufikir ipasavyo
Tunahitaji viongoz na sio watawala wa chama tawala wasio jua majukumu ya uongoz
 
Wewe kuwepo ukawa mwisho oct 25 lile fisadi lako likipigwa mweleke utalia sana lazima ubadili id.

Mbona huyu kaishabadili sana ID zake, tangu Msalani na kikofia cha kijani na hii nadhani atajiita "choo"
 
Lowassa ndio Rais... kila kitu kinajulikana... Mpango wa Mungu huo...!!!
 
Back
Top Bottom