Ndiyo kusema Ajira za serikali hamna tena?

Ndiyo kusema Ajira za serikali hamna tena?

viwanda

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2016
Posts
697
Reaction score
749
Ni mwaka na miezi kazaa serikali imegoma kutoa ajira kwa vijana wa kitanzani.

Ni bora serikali hii ya watukufu wa Mungu ikaweka wazi kuhusu ajira kama zipo au hazipo, haiwezekani kama walimu wanakutana wa mwaka 2015 na wengine 2016 na wauguzi, afisa kilimo , madaktali,wahasibu, HR, afisa biashara, engineer, wako wengi tu.

Mwisho kabisa vijana wenzangu nchi hii tunaambiwa ilipinda mwenye nyumba inainyosha, basi na sisi tuachane kabisa na kusubili hizi ajira tunapotezewa mda wetu mwingi kwa siasa za uongo uliyebahatika kujishikiza sehemu komaa, kama bado huna kisehemu cha kuwajibika weka elimu yako pembeni jitoe muhanga kwa kufanya shughuli yeyote ile ipo siku Mungu atajibu maombi yako.

Vijana kumbukeni kauli hizi
1. Tetemekeni wenyewe
2. Serikaki haina shamba
3. Mwafaaa
4. Asiyefanya kazi na asile
5. Kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe
6. Mtaishi kama mashetani
7. Hakuna ukame wala njaa.
 
Nchi inaendeshwa kama gari bovu:by rais mstaaf Ally Hassan Mwinyi, sasa katika gari hili unategemea kupata kitu kizuri kweli?
 
Vumilieni
Nchi ipo kwenye mnyoosho
Ikishanyooka ajira zitakuwa za kutosha
 
Ni mwaka na miezi kazaa serikali imegoma kutoa ajira kwa vijana wa kitanzani.

Ni bora serikali hii ya watukufu wa Mungu ikaweka wazi kuhusu ajira kama zipo au hazipo, haiwezekani kama walimu wanakutana wa mwaka 2015 na wengine 2016 na wauguzi, afisa kilimo , madaktali,wahasibu, HR, afisa biashara, engineer, wako wengi tu.

Mwisho kabisa vijana wenzangu nchi hii tunaambiwa ilipinda mwenye nyumba inainyosha, basi na sisi tuachane kabisa na kusubili hizi ajira tunapotezewa mda wetu mwingi kwa siasa za uongo uliyebahatika kujishikiza sehemu komaa, kama bado huna kisehemu cha kuwajibika weka elimu yako pembeni jitoe muhanga kwa kufanya shughuli yeyote ile ipo siku Mungu atajibu maombi yako.

Vijana kumbukeni kauli hizi
1. Tetemekeni wenyewe
2. Serikaki haina shamba
3. Mwafaaa
4. Asiyefanya kazi na asile
5. Kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe
6. Mtaishi kama mashetani
7. Hakuna ukame wala njaa.

Hata Raisi wa Marekani Donuld Trump amesitisha ajira serikalini isipokuwa kwenye majeshi, afya na serikali kuu. Mtamuelewa tu JPM
 
Hapa cha kufanya ni kujishughulisha na kaz zingine tuu maana huyu dereva ashapoteza dira.
 
Utakuwa msomi hewa wewe
Nenda shule na wewe uone kama ni either ukimaliza utakuwa msomi hewa au lah......acha porojo, Watanzania msipende kila siku mtu aongee uongo ndo mfurahi. Mtu akiongea ukweli hampendi. Halafu alichosimamisha Trump sio Ajira ni sheria zinazotumika kuajili watumishi wa umma. Sio hapa chuma kilidanganya kuwa kinashughulikia watumishi hewa wakati kinaminya gaduates wasipate ajira...........
 
Nenda shule na wewe uone kama ni either ukimaliza utakuwa msomi hewa au lah......acha porojo, Watanzania msipende kila siku mtu aongee uongo ndo mfurahi. Mtu akiongea ukweli hampendi. Halafu alichosimamisha Trump sio Ajira ni sheria zinazotumika kuajili watumishi wa umma. Sio hapa chuma kilidanganya kuwa kinashughulikia watumishi hewa wakati kinaminya gaduates wasipate ajira...........
Mkuu kama kweli umeenda shule we ni hasara kwa wazazi na taifa kwa ujmla
 
Shika jembe Lima acha lawama dogo

Are you serious? Kati ya kazi zote unazoweza kumshauri mtu kufanya ni ukulima? Unaweza kuwauliza pia watawala sera ya kilimo kwanza (Ambayo tuliambiwa italeta mapinduzi ya kilimo) imefikia wapi???
 
Hata Raisi wa Marekani Donuld Trump amesitisha ajira serikalini isipokuwa kwenye majeshi, afya na serikali kuu. Mtamuelewa tu JPM

Kwani umeambiwa Serikali yetu imeskitisha ajira?? kwani hukumsikia Rais wakati akitoa ufafanuzi kwamba ajira hazijasitishwa??? Acha kufananisha vitu ambavyo haviko sawa. Tanzania haijasitisha ajira. Tanzania haiajiri kwa sababu serikali haina fedha za kutosha za kulipa mishahara. Wajinga ndio waliwao....
 
Ajira zitatoka lkn hazitakuwa nyingi.Cha msingi tafuta ajira kwenye makampuni binafsi kama una ujuzi ama jiajiri tu lkn kusubiri ajira serikalini ni kujidanganya mwenyewe.Kwa vyovyote vile JPM atapenda kubaki na wafanyakazi wachache watakaolipwa vzr na si vinginevyo
 
Back
Top Bottom