Ndivyo ilivyo, hata mimi nilikuwa kama wewe.!

Ndivyo ilivyo, hata mimi nilikuwa kama wewe.!

Huyo m'baba hapo juu........halafu sielewi......kwanza dereva wa mkuu wa mkoa hajambo........?.......
Alijichanganya tu,
dereva wa mkuu wa mkoa yupoooo, tuko nae tunakula chipsi maharage kwa masista hapa....

Salaam kwa yuleeeee kama "Filipo" wa marejesho....
 
Lakini ujue hunitendei haki.....unajua kabisa umefanya mabadiliko ya ID........nifanyie wepesi basi hata pm niweze kubaini........
Jamani Preta!!! Naja fungua
 
Hahahaha umenikumbusha jamaa nilikutanae kitambo hicho advance na yeye alikuwa haamini biblia wala quran.
 
Back
Top Bottom