habari wana jf....natumaini mu wazima na weekend mmeianza vema.
naombeni michango yenu ya dhati ili niweze kubadilika, mimi huwa nashindwa kujielewa nina matatizo gani nimekuwa na kitabia cha uoga uoga kiasi kwamba siwezi kukaa sehemu yenye watu wengi na nikikaa sehemu hiyo basi ujue sitaongea neno nitakaa kimya tu mpaka watu huniona siko social,ila nikikaa na mtu mmoja niwe nimemzoea au sijamzoea tutaongea vizuri tu.
kingine huwa nahisi kama akili yangu inastuck haifunction tena kama zamani i fail to understand my self kwa kweli your help please.
naombeni michango yenu ya dhati ili niweze kubadilika, mimi huwa nashindwa kujielewa nina matatizo gani nimekuwa na kitabia cha uoga uoga kiasi kwamba siwezi kukaa sehemu yenye watu wengi na nikikaa sehemu hiyo basi ujue sitaongea neno nitakaa kimya tu mpaka watu huniona siko social,ila nikikaa na mtu mmoja niwe nimemzoea au sijamzoea tutaongea vizuri tu.
kingine huwa nahisi kama akili yangu inastuck haifunction tena kama zamani i fail to understand my self kwa kweli your help please.