Makinikia Original
Member
- Aug 29, 2017
- 90
- 154
Nayeye aombe hifadhi huko finland.Tundu Lissu
Wapuuzi hao hata anayewaamini ni mpuuziLeo The Economist limeandika makala ndefu kumhusu mwenendo wa utawala wa rais Magufuli kwa takribani miaka mitatu toka ainuse Magogoni.
Mengi wa waliyoandika siyo mageni, ni yale yale, yaliyoungumzwa na Tundu Lissu mapema mwaka 2016, siku chache tu toka ukandamizaji wa utawala wa sheria, usiginaji wa demokrasia na uvunjifu wa haki za binadamu uanze nchini.
Tundu Lissu alitumia neno "dikteta uchwara" watu wengi wasioelewa wakambeza.
Miaka miwili baadae hata The Economist wataendelea kulibeza???
Ccwatasema vita ya uchumi
Tanzania ukweli ni uongo na uongo ni kweliKinachomponza Lissu ni kuwa mkweli na muwazi.
Vita inayopiganwa na mtu mmoja bila adui, mpiganaji huyo ndo anaamua nani adui kwa wakati upiwatasema vita ya uchumi
Una maanisha nani mkuu, jiwe au kiongozi wa malaika "malaika mkulu"Wapuuzi hao hata anayewaamini ni mpuuzi
Huu uwanja wa moto hawakanyagiCc
Wakudadavua
Jingalao
Motochini
Laki si pesa
Nyani
Waandishi wa the economist ni wapuuzi na anayeamini makala yao ni mpuuziUna maanisha nani mkuu, jiwe au kiongozi wa malaika "malaika mkulu"
Tanzania ya pili katika nchi ambazo uchumi wake unakua kwa kasi AfrikaLeo The Economist limeandika makala ndefu kumhusu mwenendo wa utawala wa rais Magufuli kwa takribani miaka mitatu toka ainuse Magogoni.
Mengi wa waliyoandika siyo mageni, ni yale yale, yaliyoungumzwa na Tundu Lissu mapema mwaka 2016, siku chache tu toka ukandamizaji wa utawala wa sheria, usiginaji wa demokrasia na uvunjifu wa haki za binadamu uanze nchini.
Tundu Lissu alitumia neno "dikteta uchwara" watu wengi wasioelewa wakambeza.
Miaka miwili baadae hata The Economist wataendelea kulibeza???
Ukiwa mkweli nchi hii utaitwa kuwa si MZALENDO na ni MSALITIKinachomponza Lissu ni kuwa mkweli na muwazi.
Halafu hiyo id yako inanikasirisha sana.Tanzania ukweli ni uongo na uongo ni kweli
Malaika michael..arch angel labdaUna maanisha nani mkuu, jiwe au kiongozi wa malaika "malaika mkulu"
Ni hasira hiyo hiyo ndo na mimi nikajipa hili jina, kupoza machungu.Halafu hiyo id yako inanikasirisha sana.
Unajua hatujalipwa noah zetu?
Ni jambo jema kuwa wa pili, ila tukifika kumi hata ishirini ulete tena.Tanzania ya pili katika nchi ambazo uchumi wake unakua kwa kasi Afrika
Tanzania ya pili katika nchi ambazo uchumi wake unakua kwa kasi Afrika – Millardayo.com