Ndio tumefika, mahali hapa!

Natumai baadae litatoka tamko la kwataka wale wote walojiandikisha wakapige kura la sivyo hatuakali za kisheria zitafuata
Ninasubiri Kwa hamu tarehe hiyo.. Nina wasiwasi watumishi watalazimishwa kuandika jina lake na kituo cha kazi kabla ya kupiga kura..

Tusubiri.

Ila cha moto wanakiona.
 
Hao walimu wamewakandamiza miaka 4 bila kuwapa ongezeko la mshahara Wala haki za kupanda madaraja na malipo mengine mengi.


Nimepata taarifa Kuna mkoa et walimu wanaochaguliwa kwenda kusimamia form four mitihani ya taifa Ni wale wenye kadi za chama cha mapinduzi na wale ambao walichangia mwenge.


Haya ni maajabu ya milenia haki ya Mungu!!! Taifa limeoza na kufa kabisa.
 
Hao walimu wamewakandamiza miaka 4 bila kuwapa ongezeko la mshahara Wala haki za kupanda madaraja na malipo mengine mengi.


Nimepata taarifa Kuna mkoa et walimu wanaochaguliwa kwenda kusimamia form four mitihani ya taifa Ni wale wenye kadi za chama cha mapinduzi na wale ambao walichangia mwenge.


Haya ni maajabu ya milenia haki ya Mungu!!! Taifa limeoza na kufa kabisa.


Aiseeeeh... Ndio tumeshafika huko!?

Ubaguzi mwisho wake mbaya sana.
 
Possible...!!
Akili zao, wanazijua wao wenyewe!.
Ninasubiri Kwa hamu tarehe hiyo.. Nina wasiwasi watumishi watalazimishwa kuandika jina lake na kituo cha kazi kabla ya kupiga kura..

Tusubiri.

Ila cha moto wanakiona.
 
Hao walimu wamewakandamiza miaka 4 bila kuwapa ongezeko la mshahara Wala haki za kupanda madaraja na malipo mengine mengi.


Nimepata taarifa Kuna mkoa et walimu wanaochaguliwa kwenda kusimamia form four mitihani ya taifa Ni wale wenye kadi za chama cha mapinduzi na wale ambao walichangia mwenge.


Haya ni maajabu ya milenia haki ya Mungu!!! Taifa limeoza na kufa kabisa.
Sasa kama kiti cha DED, kinatafunwa!
Je kiti cha mwalimu, ndio kitapona?!!
 
Ndugu yangu ameenda kujiandikisha akaulizwa unakadi ya chama cha CCM akajib alipoteza akaambia aandike majina yake then ataitwa kwenda kuchukua iyo kadi:so unajiandikisha then unalazmishwa na kumilik kad ya CCM
 
Tunasubiri tu mirembe, hije ipitie mali zao zilizobakia huku uraiani.
Ili wote tuzungumze vizuri, kwa kutumia lugha moja...!
Naona tumeanza kuongea lugha 1 sasa....yajayo yanafurahisha. Hii ndio tanzania mpya ya watanzania wanaojielewa na hawako tayari kuburuzwa tena.
 
Hii awamuni kulazimishalazimisha tu,walimu kulinda ugali wenu jiandikisheni,halafu mnipigie mimi ili wajue kuwa nyie ni watu wazima wasiwalazimishe kufanya maamuzi.
Nalog off
 
Kwenye hili umma unapaswa kusimamia ukweli, tukichagua kuwaogopa, wanasiasa wataendelea kutuburuza maisha yetu yote. Msimamo ni kuwa hatupigi kura na sababu za msingi tunazo na mifano halisi tunayo. Tutakuwa taifa la ajabu iwapo tutendelewa kutiwa vidole vya macho na bado tuwaogope wahuni eti kisa wana madaraka.

Hapo walipo hii hali ya kususia kupiga kura imewatisha, ni juu yetu kutumia njia hii ya amani kuleta mabadiliko tunayoyataka bila kutegemea mwanasiasa yoyote, kwani wao inaonekana wameshindwa. Hatuna tume huru ya uchaguzi, hatuna katiba mpya na hela zimeshaliwa kwenye mchakato, kisha mwanasiasa mmoja anasema hataki katiba mpya na bado tunaendelea kushiriki chaguz za dhuluma, kama sio wendawazimu huo ni nini?
Kweli kabisa kaka
 
Kulazimisha wananchi kupiga kura ni kuwavunjia haki zao za msingi za kikatiba.

Kama ilivyo kuwa, kuwalazimisha wananchi wasipige kura ni kuwavunjia haki zao za msingi za kikatiba.

Katiba inatoa uhuru wa kujieleza. Kuamua kupiga au kutopiga kura ni aina ya kujieleza.

Kutopiga kura ni aina ya kupiga kura. Ni kupiga kura ya kutokuwa na imani na mfumo wa uchaguzi.

Kwa hiyo, ukilazimisha watu wapige kura, umewalazimisha wasipige ile kura yao ya kutokuwa na imani na mfumo mzima wa uchaguzi, kwa kutopiga kura.

Kulazimisha watu wapige kura kunaingilia uhuru wa kikatiba wa kuchagua uongozi. Pia, kulazimisha huku kunaingilia uhuru wa wananchi wa kujieleza.

Kulazimisha huku kunavunja haki za kikatiba za Watanzania.
 
Mkate wa kila siku umekuwa mgumu,watu wamepoteza tumaini la kwenda kukaa wanajiandikisha.
Watangaze kujiandikisha sh 5,000 kwa kila kijana uone kazi..Mfano bodaboda,dereva bajaji na daladala ataachaje kazi akajiandikishe,mama ntile,vijana wasio na ajira..tangaza mkwanja uone..Kazi ya pesa ni mzunguko..
Kwa kifupi ni ngumu mno kujiandikisha wakati asilimia kubwa watakaoshinda hawana jinsi ya kumpa RAIA msaada wa moja kwa moja sababu uwajibikaji na utekelezaji bado ni tatizo.
 
Kulazimisha wananchi kupiga kura ni kuwavunjia haki zao za msingi za kikatiba.

Kama ilivyo kuwa, kuwalazimisha wananchi wasipige kura ni kuwavunjia haki zao za msingi za kikatiba.

Katiba inatoa uhuru wa kujieleza. Kuamua kupiga au kutopiga kura ni aina ya kujieleza.

Kutopiga kura ni aina ya kupiga kura. Ni kupiga kura ya kutokuwa na imani na mfumo wa uchaguzi.

Kwa hiyo, ukilazimisha watu wapige kura, umewalazimisha wasipige ile kura yao ya kutokuwa na imani na mfumo mzima wa uchaguzi, kwa kutopiga kura.

Kulazimisha watu wapige kura kunaingukia uhuru wa kikatiba wa kuchagua uongozi. Pia, kulazimisha huku kunaingilia uhuru wa wananchi wa kujieleza.

Kulazimisha huku kunavunja haki za kikatiba za Watanzania.
Well said chief.
 
Back
Top Bottom