MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 3,689
- 5,015
Waulize lumumba fc wenzio
Sijaelewa kitu hapo, hiyo chat ni ya kabla Mh.Lissu shambulizi!?
Sijaelewa kitu hapo, hiyo chat ni ya kabla Mh.Lissu shambulizi!?
Muungen salary slip hilo group haf mfanyen admin
tunaongelea vitu venye msingi hapa hatupo kwenye mambo ya mzahaMuungen salary slip hilo group haf mfanyen admin
Ndiyo mkuutunaongelea vitu venye msingi hapa hatupo kwenye mambo ya mzaha
Nami bado nadadavua kwa sababu haina tarehe labda tufafanuliwe zaidi kilichojiri. Hili kundi la kaskazini ni nani hasa wana nafasi gani na au vyeo gani hadi waseme haya kwenye watsap. sheria ya makosa ya mtandao inawezaje kufanya kaziSijaelewa kitu hapo, hiyo chat ni ya kabla Mh.Lissu shambulizi!?
tatizo siyo kutolewa kwenye hilo group la whatsaap Tatizo ni huyo mtu asipochukuliwa hatua stahiki na vyombo usika basi bavicha watachukua hatua zimfazo huyo mtuNdiyo mkuu
Mi nna masihara gani mkuu ...
Namjua salary slip ni mtu srrious lazima hao wapumbavu watolewe kwenye group mada za muhm ziendelee kujadiliwa
Mbona unakuwa high muda mfup hivyo ?!
Tatizo siyo tarehe tatizo ni hayo aliyoandika wewe unayaona yapo sawa?Nami bado nadadavua kwa sababu haina tarehe labda tufafanuliwe zaidi kilichojiri
nafikiri Umeona magereza wamejengewa CDM TuIla Hebu cdm toeni mfano wenu na nyie tuone utakuwaje, maana jamaa wametoa na wengi tumeulewa, hebu njooni mtoe na nyie kisha tulinganishe, nani yuko bora zaidi. Maana imeandikwa 'jino kwa jino'.
Magereza kwa wote Chief, kwani kuna shida mkuu?nafikiri Umeona magereza wamejengewa CDM Tu
Uaani yanatisha hayako sawa kabisaTatizo siyo tarehe tatizo ni hayo aliyoandika wewe unayaona yapo sawa?
Yaani yanatisha hayako sawa kabisa
nitajie kiongozi gani wa ccm yupo gerezani?Magereza kwa wote Chief, kwani kuna shida mkuu?
Magereza Hakuna viongozi wa serikali wala wa chama mkuu, kule kuna WAHARIFU na WATUHUMIWA mkuu...!nitajie kiongozi gani wa ccm yupo gerezani?
nimekwambia nitajie yupo wa cck yupo kule wacha kupindisha mambo maana unajiweka upofuMagereza Hakuna viongozi wa serikali wala wa chama mkuu, kule kuna WAHARIFU na WATUHUMIWA mkuu...!
nimekwambia nitajie yupo wa cck yupo kule wacha kupindisha mambo maana unajiweka upofu
Nafikiri ni ya zamani sana kabla ya shambulizi LA September 7, 2017!Sijaelewa kitu hapo, hiyo chat ni ya kabla Mh.Lissu shambulizi!?
ungetaka usiulizwe usingekimbilia kuweka comment kwenye hii ThreadSasa kama Jibu unajua unaniuliza kutaka nini sasa... Unataka nakujibu vipi!
wewe unaona nisawa tu hata kama nilazamani hii kitu si yazamaniNafikiri ni ya zamani sana kabla ya shambulizi LA September 7, 2017!