Ndio kuachwa huku au?

mwuulize akupe ukweli wake.........................lakini uzoefu unaniongoza kuamini ya kuwa.......................it is over....................if he is not calling......................then most likely ............................he is not in you
 
Asante Rose,father filipe hajambo,nasikia isabela ana mpango wa kunichukulia salvado wangu!

pole sana andika maumivu akali kwa sababu lisemwalo lipo kama halipo lipo nyuma laja..............
 
MDADA APO KIMBIA...dzain jamaa yupo kwenye dilema ...ana demu mwngne vp ajui abase wap....mwambie akupe TAMKO MOJA...neno moja tu na roho yako itatulia...

akijulishwa ni kibuti roho yake kweli itatulia.............
 
hakuna kilicho rahisi katika mapenzi....jifanye mjinga mtext,mkol...ukiona hachange mchunie hapo ndipomutajua alikuwa sirias au jipapa tu
 
.
nipo kwenye mahusiano tangu mwezi wa 6 mwishoni baada ya kukaa muda mrefu bila mtu,mungu ni mwema kweli huyu shemeji yenu mpya alinipenda na kunijali ingawa kazi yake ni kuwa busy karibu wiki nzima kasoro j2 tu ndipo anakuwa free na alijitahidi sana kuwa nami na kuspend siku hiyo nzima ya j2 kwenda sehemu mbalimbali na mm ili hata tupumzike na kubadilishana mawazo mbalimbali,haikuishia hapo pia alijitahidi muda wa kazi kunipigia simu muda mwingi kunijuza anapoenda kwaa muda huo hata na mengineyo hope mnajua penzi la kwanzakwanza linavyokuwaga tamu na motomoto ila nasikitika kuwaambia kuwa mwezi wa nane nilipata taarifa za babayangu kupata ajali ikanipasa niende nyumbani mara moja kumcheki baba then baada ya wiki moja nilirudi kuendelea na kazi lakini kwa bahati mbaya tena baada ya kama wiki mbili nilipata tena taarifa baba yangu mkubwa kaanguka ghaflana kufariki hivyo nilienda tena nyumbani na baada ya wiki 2 nilirudi kazini na hapo ndipo nilipoanza kuona tofauti za huyu shemeji yenu kwani inaweza kupita hata siku nzima asinipigie wala kutuma meseji na kila ninapomuuliza anasema anakuwaga busy muda mwingi au huwa anakuwa na bosi wake kama binadamu kuna kummiss mpenzi wako so nimejaribu kumuomba hata tutoke tuongee nijue nn shida anakuwa na visingizio jamani na kwa bahati nzuri tupo wote katika jengo moja,


jamani next time hebu tumia punctuation marks....duh...hakuna hata breki!!!
 
Nikwamba wanawake wenyewe mnaoneana wivu sasa wewe wakati haupo alijipitisha mwenziye akamtamani!nasasa ndo yuko naye chunguza ila yawezekana ni ubusy na kwakuwa anajua niwake haitaji tena zile zakupitiliza kwani huko kwenye imaya yake!!lakini nikutokuwa na akili kwani ukifanya hivyo unamuumiza mwenziyo vumilia uone mwisho wake na wewe hukiwa standby kama atakuwa amesepa usiumie moyo wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom