Ndio namalizia mapumziko ya Maulidi,Naangalia Kipimajoto ITV!Kiuwazi kabisa jinsi Rithe anavyojieleza kulingana nahoja inayoendelea inaonyesha wazi kabisa kuwa kama anamtazamo wakupambana na Mdee 2015 Kawe kupitia CDM ajipange mno!Tafadhali fuatilia kipindi nanivema kumfuatilia ktk harakati zake kisiasa bado kuwa ktk hatua ya Mdee.
Ajiuzulu ubunge wa viti maalumu basi!!Kiukweli Mbatia anaelewa mno,sijui Mtwara alitumwa nanani?Leo anaongea yake binafsi naona kaona kutumwa kutumikia ubunge kutamgharimu!
Bongo fitna
Ajiuzulu ubunge wa viti maalumu basi!!
Posho
mchezo,Bado mafao!
Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi Mheshimiwa James Mbatia yupo ndani ya ITV katika kipindi cha Kipima Joto. Jamaa kawaida yupo makini sana na ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja.
Nawasilisha.
Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi Mheshimiwa James Mbatia yupo ndani ya ITV katika kipindi cha Kipima Joto. Jamaa kawaida yupo makini sana na ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja.
Nawasilisha.
msubiri mlangoni umpore simu yake Kama kawaida yakoMwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi Mheshimiwa James Mbatia yupo ndani ya ITV katika kipindi cha Kipima Joto. Jamaa kawaida yupo makini sana na ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja.
Nawasilisha.
Ajiuzulu ubunge wa viti maalumu basi!!