Ndesamburo kufanya mkutano Moshi kesho

Ndesamburo kufanya mkutano Moshi kesho

kesho nawahi kutoka job mapema sana najitupia t-shirt ya 'nguvu ya umma' kisha najisogeza pande zile,gonga like hapa kusupport movement za chadema,viva chadema
 
kesho nawahi kutoka job mapema sana najitupia t-shirt ya 'nguvu ya umma' kisha najisogeza pande zile,gonga like hapa kusupport movement za chadema,viva chadema
Mkutano ni leo jumapili
 
na kirusi wa CHADEMA mke mdogo wa katibu wa kudumu na BEN masalia


msukuma gani wewe hadi leo hujabadilika, wenzio wamechoka na umaskini wewe bado unaendelea na umbulula, pole sana. Nenda kawalimie wazazi nyumbani, nahisi utawakana, sio maccm tena, nenda uone...
 
Mwenezi wa mkoa anamkaribisha Meya Jafarry Michael aongee na wananchi
 
msukuma gani wewe hadi leo hujabadilika, wenzio wamechoka na umaskini wewe bado unaendelea na umbulula, pole sana. Nenda kawalimie wazazi nyumbani, nahisi utawakana, sio maccm tena, nenda uone...

acha ukabila na matusi, mbona upo kama unagegedwa
 
Anaanza kwa kuwalaani ccm kwa kumzushia Mh.PHILEMON NDESAMBURO
 
Anasema Nape ni Mjinga na hajui na ujinga sio tusi
 
Anasema kimsingi hospitali,mashule,na barabara ni kodi za wananchi sio za ccm
 
Anasema watanzania tupo nyuma kimaendeleo kutokana matumizi mabovu ya kodi za watanzania
 
Anasema ccm na viongozi wake hawafai tena kuaminiwa na umma.
 
Anasema baraza la halmashauri ya manispaa ya moshi wanasimamia vizuri kodi za wananchi ndio maana barabara za manispaa zinajengwa kwa kasi tokea wachukue manispaa
 
Anasema ccm wanawadanganya watanzania kwa kuwaambia amani na utulivu huku wao wakiendelea kuifisadi nchi.
 
Awataka watanzania kuichagua CHADEMA kwani amani na utulivu unaenda sambamba na usawa katika rasilimali za nchi!
 
Hoja ya msingi kwa sasa nikurudisha taifa katika misingi ya uwajibikaji
 
Ndesamburo anasema ccm imefika mwisho
 
Back
Top Bottom