Mbunge wa moshi mjini Mh. PHILEMON NDESAMBURO kesho akipa pamoja na viongozi wa CHADEMA mkoa wa Kilimanjaro,madiwani na Mstahiki Meya Wa Manispaa ya Moshi Mh. JAPHARY MICHAEL watafanya mkutano wa hadhara kesho katika viwanja vya relini kata ya Pasua kuanzia saa nane mchana