Amesema haoni sababu ya serikali kukataa kuanzishwa kw amahakama ya kadhi kikatiba na kutengewa pesa na serikali; kwani serikali inatenga fedha nyingi kwa mambo ya kisiasa na kusahau mambo yanayogusa jamii ya kiislam Tanzania; ili kuepusha kutokuelewana katika jamii..
Aitaka serikali kutenda haki dhidi ya waumini waislam na kuandaa bajeti kwa ajili ya mahakama ya kadhi kama ambavyo inatoa pesa za ruzuku kwa vyama vya siasa..
My Take:
Anasema kweli lakini itakubalika huko kwenye hierachy za chadema?? au anawauza waislamu kama Mrema enzi hizo???
Source: Michuzi Blog..
Aitaka serikali kutenda haki dhidi ya waumini waislam na kuandaa bajeti kwa ajili ya mahakama ya kadhi kama ambavyo inatoa pesa za ruzuku kwa vyama vya siasa..
My Take:
Anasema kweli lakini itakubalika huko kwenye hierachy za chadema?? au anawauza waislamu kama Mrema enzi hizo???
Source: Michuzi Blog..