Hii ni baada ya Hamas kuwateka na kuwaua watoto watatu wa ki israel. Netanyahu amekaririwa akisema Hamas watalipa mara mbili! Watoto hao wamezikwa leo. SourceW. My take,nachoona wataumia mpaka wasiohusika kama wanawake na watoto wa ki palestina. Sijui mzozo huu utaisha lini na tuombe Mungu asaidie uishe!