Ndege yaanguka ziwa Manyara

...au kurahisisha sema, maji yakikatika masaa sita Masaki/Mikocheni/Mbezi beach sio wala engineer wa dawasko anaenda kusimamia zoezi la kuyarejesha bali waziri mkuu lakini wakati huo huo Yombo/Mnyamani visima vikikauka mwaka mzima hata mjumbe wa shina hajui!
Hiyo ni asili ya binadamu na haiepukiki maana kuna binadamu wanaofikiri sana, wanaofikiri kiasi na wasiopoteza muda wao kufikiri kabisa. Wengi tunaamini kuwa wanaofikiri sana na kiasi hupenda kutumia vyombo hivi vya usafiri. ...is it offending!?
 
Nawapa pole waliopata hio ajali. Lakini ufike wakati sasa ufanyike uchunguzi wa kina kujua chanzo cha hizi ajali za ndege hasa ukanda huo manake kuna nyingine ilianguka recently

JK style, unataka iundwe tume??? Sababu ni uchakavu wa hizo ndege na uzembe wa mamlaka husika.>>>
 

Asante kwa taarifa; ila kwa maelezo yako inaonyesha ndege hiyo haijaanguka, isipokuwa imetua kwa dharura majini.
 
Air Tanzania, sikio la kufa! Ni hujuma au uchawi, hili shirika mbona linateketea kwa kasi ya kutisha sana?
 
Hivi videge vya ajabu ajabu vinaruhusiwa kuruka vitakuja leta majanga makubwa. Community Airline ilizuiliwa kwa majungu sasa ndio haya tunashuhudia ufisadi katika sekta ya anga. Tuwaombee majeruhi watoke salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…