Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Na Grace Ndossa
MIPASHE,Agosti 18 2010
"Serikali imeagiza ndege, kutoka Kenya kwa ajili ya kunyunyizia dawa,katika bonde la Mto Msimbazi ili kuuwa mbu walioenea katika Hospitali ya Taifa Muhimbili(MNH).
Kauli hiyo ilitolewa Dar es salaam jana, na Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali hiyo. Dkt. Rozina Kipyoga,"
My take:
This is too much.Wataalamu wetu hawa wameishiwa mawazo juu ya hygiene kwa sehemu kubwa kama bonde la Mto Msimbazi.
Life cycle ya mbu ni siku chache sana,sasa baada ya mwezi wataagiza tena hiyo ndege baada ya mbu wengine kuzaliana?
Na gharama la hilo zoezi je? kwa hatua zinazoweza kuleta unafuu wa wiki moja au mbili?
Wataalam waache kuleta solutions ambazo hata wao wenyewe wanajua ni fake.
MIPASHE,Agosti 18 2010
"Serikali imeagiza ndege, kutoka Kenya kwa ajili ya kunyunyizia dawa,katika bonde la Mto Msimbazi ili kuuwa mbu walioenea katika Hospitali ya Taifa Muhimbili(MNH).
Kauli hiyo ilitolewa Dar es salaam jana, na Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali hiyo. Dkt. Rozina Kipyoga,"
My take:
This is too much.Wataalamu wetu hawa wameishiwa mawazo juu ya hygiene kwa sehemu kubwa kama bonde la Mto Msimbazi.
Life cycle ya mbu ni siku chache sana,sasa baada ya mwezi wataagiza tena hiyo ndege baada ya mbu wengine kuzaliana?
Na gharama la hilo zoezi je? kwa hatua zinazoweza kuleta unafuu wa wiki moja au mbili?
Wataalam waache kuleta solutions ambazo hata wao wenyewe wanajua ni fake.