Ndege yaagizwa kuua mbu mto Msimbazi!!!!

Lole Gwakisa

JF-Expert Member
Nov 5, 2008
4,728
2,259
Na Grace Ndossa
MIPASHE,Agosti 18 2010
"Serikali imeagiza ndege, kutoka Kenya kwa ajili ya kunyunyizia dawa,katika bonde la Mto Msimbazi ili kuuwa mbu walioenea katika Hospitali ya Taifa Muhimbili(MNH).
Kauli hiyo ilitolewa Dar es salaam jana, na Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali hiyo. Dkt. Rozina Kipyoga,"

My take:
This is too much.Wataalamu wetu hawa wameishiwa mawazo juu ya hygiene kwa sehemu kubwa kama bonde la Mto Msimbazi.
Life cycle ya mbu ni siku chache sana,sasa baada ya mwezi wataagiza tena hiyo ndege baada ya mbu wengine kuzaliana?
Na gharama la hilo zoezi je? kwa hatua zinazoweza kuleta unafuu wa wiki moja au mbili?
Wataalam waache kuleta solutions ambazo hata wao wenyewe wanajua ni fake.
 
Na Grace Ndossa
MIPASHE,Agosti 18 2010
"Serikali imeagiza ndege, kutoka Kenya kwa ajili ya kunyunyizia dawa,katika bonde la Mto Msimbazi ili kuuwa mbu walioenea katika Hospitali ya Taifa Muhimbili(MNH).
Kauli hiyo ilitolewa Dar es salaam jana, na Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali hiyo. Dkt. Rozina Kipyoga,"

My take:
This is too much.Wataalamu wetu hawa wameishiwa mawazo ........

Na gharama la hilo zoezi je? ........QUOTE]

Kwa kweli sisi inatubidi tufunguke kabisa. Mbona hili ni zoezi la kufanya watoto wa darasa la tatu.
hawa tayari wanajua mbu na mazalia yake na hata solution ili wasizaliane.
Leo watu wameshatengeneza mradi wa mamilioni, huku mengine yakiwa yameshaliwa.
KLwani suala ilikuwa kutumia dawa kwanza?
Inakuwa vipi kukata matawi au maua eti kukausha mti!! zaidi unataka yachanue zaidi.

Halafu kwanini ndege itoke kenya na wakinyunyizia watu watakuwa wapi au ndo yaleyale ya kuwatia watu presha na cancer hapo badaye.!
Jamani Hii nchi na vitu vya kukodi!!! Mhh!

Mimi ningedhani kuwa badala ya kuwaweka watu watatu au wangapi wale, basi ingefanyika operation ya usafi kila eneo ndipo sasa dawa iwekwe katika maeneo husika.

Lakini ndo hivyo tayari mamilioni yetu hayo yameshazama, na mengine yanaendelea kuzama. Sisi mishahara yetu inakuwa kama santa karawe!!!.. Mwenye kupata ....

Yaani jamani Nchi imeshauzwa tena kwa mkopo bado kugawiwa hela zetu. Tujiulize kila mtu alipo.
JE UNA UZALENDO KAMA WA MWALIMU!!!?
WEWE SIYO FISADI? japo wengine wameanza kulipa kisasi kwa kuwapiga wale walio karibu yao . (Yaani kama hawa wakurugenzi wa Muhimbili.


CHUKUA CHAKO MAPEMA (ccm):A S 39:
 
nimesikia jana kwenye taarifa ya habari TBC1 nikapigwa na butwaaaaa...nchi yenye uongozi uliooza na watendaji wake na mawazo yao yanakuwa yameoza pia
 
nimesikia jana kwenye taarifa ya habari TBC1 nikapigwa na butwaaaaa...nchi yenye uongozi uliooza na watendaji wake na mawazo yao yanakuwa yameoza pia

Ni kweli kabisa kwa wanaoelewa, lakini kuna wengi tu wabongo ambao wanaona kuwa ni uamuzi mzuri kwa serikali.
Unajua kuna watu huwa wanaishi karibu kabisa na harufu halafu pua zinazoea na kuon ni nzuri tu.

Kuna watu jana ileile wanasema "SERIKALI INAJITAHIDI KUWALETEA WATU MAENDELEO! NDEGE HADI KENYA"
Hvyo viongozi bado hatuna na watu pia bado tupo mbali sana na hali halisi
 
Hii ndo Tanzania yetu .....viongozi wetu hawafikirii mbali kwani badala ya kutafuta permanent solution wanarukaruka na issue za kipumbavu

swali dogo tu; kwani hawa mbu wameanza leo? Je' nini kiliwasukuma wakenya hadi wakaamua kuwa na ndege yao ya kuspray?

Ha ha ha Kumbe ndo maana wakenya walikuwa wanahimiza uharakishwaji wa kuunda jumuiya ya east afrika .....kwa sababu walijua kuna benefits kibao .....kwani other other members wamelala.
 
Na Grace Ndossa
MIPASHE,Agosti 18 2010
"Serikali imeagiza ndege, kutoka Kenya kwa ajili ya kunyunyizia dawa,katika bonde la Mto Msimbazi ili kuuwa mbu walioenea katika Hospitali ya Taifa Muhimbili(MNH).
Kauli hiyo ilitolewa Dar es salaam jana, na Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali hiyo. Dkt. Rozina Kipyoga,"

My take:
This is too much.Wataalamu wetu hawa wameishiwa mawazo juu ya hygiene kwa sehemu kubwa kama bonde la Mto Msimbazi.
Life cycle ya mbu ni siku chache sana,sasa baada ya mwezi wataagiza tena hiyo ndege baada ya mbu wengine kuzaliana?
Na gharama la hilo zoezi je? kwa hatua zinazoweza kuleta unafuu wa wiki moja au mbili?
Wataalam waache kuleta solutions ambazo hata wao wenyewe wanajua ni fake.

Nashindwa nicheke au nisikitike yaani unaagiza ndege kwa ajili ya kuja kuua mbu ina maana wataalamu wetu katika sekta ya afya ni kitu gani ambacho kimewashinda kweli kuna mambo mengine unashindwa hata kuyapatia majibu
 
Kwa hiyo maelezo yote yaliyokuwa yakitolewa sabasaba na wizara ya afya kuwa kuna mpango wa kuua mazalia ya mbu kwa kumwaga dawa ambayo iko katika hali ya vichengachenga ni usanii?. Nashindwa kuelewa hivi nchi hii tunaenda wapi hasa.Kwani ikifanywa fatiki ya siku moja kusafisha mto na bonde lote la msimbazi kwa kutumia mgambo wa jiji itashindikana? au baadala ya kulundika watu magerezani wahukumu watu kufanya usafi,si tungeweza? Huu ufisadi utatupeleka kubaya sasa
 
nimependa mawazo ya NEW MEMBERS......mimi nawaita..."SERENGETI BOYS WA JF"....kwa kweli kama tuka chukua GEREZA MOJA TU lingeweza tosha maliza shida nyingi sana....naunga mkono hoja!
 
Back
Top Bottom