Ndege ya Precision Air yapasuka matairi yote manne huko Arusha!

Yawezekana ni Pilot error hasa wakati wa kutua,mfano endapo hakuibalace ndege na akagusa ardhi na tyre 2 badala ya nne za nyuma,impact ya load balancing itajionyesha pale pale.Muhimu ni uchunguzi makini kwa ajili ya kunusuru safari zijazo.
 
Precision wanauza mpaka siti za crew pale mbele, ukipewa 1A umeumia!
 
Unayosema ni kweli kwani siamini kuwa matairi ya ndege yanatiwa viraka


Wengi wetu humu hatujui mambo ya ndege na usalama wa ndege hata inapotokea ajali tuko wengi sana tunaotoa maelezo mengi bila ya kujua nini chanzo na nini kifanyike kuepusha kutokea ajali nyengine

Rubani nampa pongezi kwa kazi yake nzuri, TCAA na sehemu husika watafanya uchunguzi na kubaini nini chanzo cha ajali
 
bora imepasukia chini, ingekuwa angani jamaa sijui angetokaje kuipiga jeki,,,tehe tehe
 
Wengi walioandika ni kwa ku-speculate bila kuwa na picha kamili.Speculation yangu.....Inaelekea kulitokea failure ya anti-skid system kwenye tairi moja ambalo kwenye picha laonekana limepigwa pasi...(layers za plies zinaonekana) likasababisha tairi pacha kuchukua uzito lakini ama lilishindwa, au liliharibiwa na tairi lililopasuka mwanzo. Matairi ya upande wa pili yalipata "normal" load/stress failure kwa kubeba mzigo wa ndege nzima ukichanganya na braking.
Umeandika kitu... PakaJimmy ilibidi atuambie pia approach ya ndege ilikuwaje..Arusha Airport ni uwanja mdogo ambao hauna instrumental Approach plate kitu ambacho kina-msaidia sana rubani kuteremeka kwa uhakika zaidi...lakini kutokuwepo kwake husababisha marubani kumalizia ujuzi na madoido yao katika visual approach..mara nyingi hapa kuna majaribu yake... Mfano hawa jamaa wa asiana na ujanja wao walishindwa visual..Asiana 777 pilot: SFO visual approach landing
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni muhandisi kwa taaluma, ukisoma maelezo yangu nauliza maswali kuliko kuitoa statement.
Ukiweka alama ya kiulizo mwisjhoni hiyo siyo statement hata kidogo.
Sasa napotosha nini???
Soma taarifa nzima kwa makini.

Aliyeleta mada ndiye kaanzisha habari za pechi au viraka. Unauliza ujuzi gani????

Kama huna ujuzi wa jambo husika ni vyema kukaa kimya! Toka lini ukaona tairi la ndege linawekwa kiraka? acha kutia chumvi na kuwapotosha wengine
 
Mimi ni muhandisi kwa taaluma, ukisoma maelezo yangu nauliza maswali kuliko kuitoa statement.
Ukiweka alama ya kiulizo mwisjhoni hiyo siyo statement hata kidogo.
Sasa napotosha nini???
Soma taarifa nzima kwa makini.

Aliyeleta mada ndiye kaanzisha habari za pechi au viraka. Unauliza ujuzi gani????

Taaluma yako sisi haituhusu
 
I cant be more specific than the guy who introduced the issue.
From your perspective,you see vague statements and baseless accusations, but the truth is I am asking questions. Since when a question is a statement?


Be more specific bro. Siyo unakuja na vague statements and baseless accusations.
 
Matairi yote yenye tube na yale ya Tubeless yote yanaweza kuwekwa viraka.
Kiraka cha tairi la tube huwezi kuweka kwenye tairi la tubeless.

Tubeless Patch kit

$(KGrHqFHJCcE+M9wpNstBQE,6Gb8NQ~~60_35.JPG


Tube patch
stock-photo-bicycle-tube-patch-repair-set-96349700.jpg

Wengi walioandika ni kwa ku-speculate bila kuwa na picha kamili.
Hata PakaJimmy ameeleza aliyoyaona kwa macho, halafu akayavuruga kwa ku-speculate kua tairi inaonekana imetiwa kiraka.
Hakuna tairi ya ndege inayotiwa kiraka. Utaalam huo haupo dunia nzima.
Wataalam kutoka TCAA, Precision Air wenyewe, kampuni zilizotengeneza matairi, landing gear, brake anti-skid systems na wa ATR watakuja na jibu baada ya uchunguzi kamili. Kisheria za ki Mataifa wanawajibika hivyo.

Speculation yangu.....
Inaelekea kulitokea failure ya anti-skid system kwenye tairi moja ambalo kwenye picha laonekana limepigwa pasi...(layers za plies zinaonekana) likasababisha tairi pacha kuchukua uzito lakini ama lilishindwa, au liliharibiwa na tairi lililopasuka mwanzo.
Matairi ya upande wa pili yalipata "normal" load/stress failure kwa kubeba mzigo wa ndege nzima ukichanganya na braking.

Rubani did a great job kuihimili ndege kwenye njia ya kutua. Inawezekana ndege ingevutwa sana upande ulioanza kupasuka matairi na ingeweza kuacha njia.
Ingelikuwa balaa ya ndege yote kuteketea. At least amejitahidi kwa hilo.

Here I lay my two cents worth!!
 
Matairi yote yenye tube na yale ya Tubeless yote yanaweza kuwekwa viraka.
Kiraka cha tairi la tube huwezi kuweka kwenye tairi la tubeless.

Tubeless Patch kit

$(KGrHqFHJCcE+M9wpNstBQE,6Gb8NQ~~60_35.JPG


Tube patch
stock-photo-bicycle-tube-patch-repair-set-96349700.jpg

Just for your information:-

Hakuna kuweka kiraka kwenye matairi ya ndege ya aina yeyote ile hata ndogo za binafsi.
Picha unayoleta ya bicycle-tube-patch repair set..... Unataka kulinganisha na tairi la ndege??? Are you kidding me?
Rather than expose your ignorance, sikiliza na elemika mkuu.
 
pengine ni uoga ama lah kukosa abiria lakini si kweli
ndugu zangu najua majuzi mmepata ajali tumshukuru MUUMBA AKUNA alieumia
si haba kuomba muende mkaeleezee watanzania nini kilitokea na watanzania kuwa na imani na nyie te na
kama inavyofanyika kwa ndege zingine jamani..amuigi hata atc jamani
loh
 
Hakuna kuweka kiraka kwenye tairi ya ndege ni sheria.
Haimaanishi kwamba mtu hawezi kuweka kiraka kwa sababu ahaiwezekani.
Hapo kwenye nyekundu ulikuwa una maanisha nini??



Nikiwa mmoja wa abiria tuliosafiri na PW kurudi Arusha leo, ndege ya shirika hilo yenye usajili No 5HPWI imepata kizaazaa wakati wa kutua baada ya tairi mojawapo kupasuka kwa kishindo, likufuatiwa na mengine yote ya nyuma ambapo yalipasuka pia na kuacha vipandevipande kwenye njia ya kurukia.

Waliookota vipande hivyo wamesema kuwa wamekuta viraka(pechi, watu wa magari wananielewa zaidi hapa), kitu ambacho si kawaida kwenye usafiri wa jamii hii!

Rubani wa ndege hiyo amejitahidi kuitoa ndege hiyo nje ya njia ili kutozuia ndege nyingine kuruka, japokuwa mwishowe ilimgomea kabisa na kubaki ikisota pembeni mwa njia hiyo.

Kikubwa ni kwamba hakuna madhara yaliyowapata abiria, akiwemo Bwana Lowassa.

View attachment 126474
 
Hiyo kit ya Tubeless si ya baiskeli kama unavyodai.
Naitumia kwenye 5Tons truck langu kuziba pancha na tairi linatembea mpaka linakuwa kipara
Mtu yeyote anayeishi hapa USA akienda kuziba pancha ya tairi la gari ni lazima kit hiyo itumike.
Usilazimishe mambo,huku unadai nina expose ignorance yangu.
Aliye leta ushuhuda wa kuambiwa kwamba vipande vya matairi vilikuwa na patches ni Paka Jimmy.


Just for your information:-

Hakuna kuweka kiraka kwenye matairi ya ndege ya aina yeyote ile hata ndogo za binafsi.
Picha unayoleta ya bicycle-tube-patch repair set..... Unataka kulinganisha na tairi la ndege??? Are you kidding me?
Rather than expose your ignorance, sikiliza na elemika mkuu.
 
Hii kitu ingetokea uwanja wa bukoba uenda kungekuwa na matokeo mabaya zaidi. Nimeshuhudia ndege zikiyumba sana zinapotua au kukaribia kuruka. nadhani kuna hitilafu eneo la karibu na ziwa.
 
Yaani mpaka sasa roho bado inanidunda baada ya kuisoma taarifa hii utafikiri na mimi nilikuwemo vile!
 
hata sikumbuki nilichoandika. Sema we ni mkristo siyo msomi. unaweza kuwa msomi kama Zitto, halafu unahudhuria kwa babu

Zitto alikumegea nini ? Maana wapo Waganga wa Biblia ambao wanaagua Misukule na kutoa Mapepo !
 
Back
Top Bottom