Mweee waziri mkuu atapiga picha kwa niaba yake?Uzuri safari hii kasema atamuachia waziri mkubwa aende akaizindue..
hahahahah mzee anakazana sana kuonesha watanzania anafanya kitu lakini wapi! watu hawamuelewiMweee waziri mkuu atapiga picha kwa niaba yake?
Muda ndo utasema kama Raia wanamuelewa au la....... Trust me, mwaka 2020 Ukawa mtapigwa 90% kwa 10%. Kitakuwa kipigo cha Mbwa kokohahahahah mzee anakazana sana kuonesha watanzania anafanya kitu lakini wapi! watu hawamuelewi
Ulitaka akushirikishe kipi labda.....Hatumuelewi kwasababu kuna hila ndani yake, afu nimbinafsi. Iyo Roho haitamuacha salama.
Na ndivyo itakavyokuwa hivyo. Hata hiyo 10% kwa Ukawa ni kubwa mno; ni chini ya hapo.Muda ndo utasema kama Raia wanamuelewa au la....... Trust me, mwaka 2020 Ukawa mtapigwa 90% kwa 10%. Kitakuwa kipigo cha Mbwa koko
hongera rais wetu, unaahidi na unatekeleza! Mungu mbariki rais na serikali yake, Mungu ibariki Tz!Ndege yetu mpya aina ya Boeing 787 Dreamliner inatua nchini kesho 08/07/2018 saa 8:00 mchana.
Karibuni wote tuungane na Rais Magufuli katika mapokezi ya ndege hii.
Atabadili maamuzi anganiUzuri safari hii kasema atamuachia waziri mkubwa aende akaizindue..
Hata akipata 100% ni sawa sitashangaa,mwenyekiti wa tume anateuliwa na nani?mkurugenzi wa tume je?na wanapewa na vyeo uchaguzi ukiisha,wakurugenzi wa halmashauri ni wateuliwa wa nani?na si ndo wanasimamia uchaguzi?polissm je?lazima mshinde vizuri.unaamini huwa wanashinda kwa haki?Muda ndo utasema kama Raia wanamuelewa au la....... Trust me, mwaka 2020 Ukawa mtapigwa 90% kwa 10%. Kitakuwa kipigo cha Mbwa koko
Ujinga sio shida shida ni upumbavu. Ila ukijibu hoja kwa tusi basi fahamu wewe nimpumbavu.Ulitaka akushirikishe kipi labda.....
punguzeni uji.nga
Na mashangazi zake woteMweee waziri mkuu atapiga picha kwa niaba yake?
Muda ndo utasema kama Raia wanamuelewa au la....... Trust me, mwaka 2020 Ukawa mtapigwa 90% kwa 10%. Kitakuwa kipigo cha Mbwa koko