MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
alikwenda nayo botswana na picha za ndege hiyo tukaiona hapa jf huu ni uongo mwingine.
kuna jamaa yangu yuko airport nimemuuliza hivi punde kaniambia ndege ipo inaruka kama kawaida kasema niende kesho nikaone nitamwaga picha hapa
kuna jamaa yangu yuko airport nimemuuliza hivi punde kaniambia ndege ipo inaruka kama kawaida kasema niende kesho nikaone nitamwaga picha hapa