Ndege iliyopotea ikitafutwa

Ndege iliyopotea ikitafutwa

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,341
Reaction score
15,829
Askari wa Vietnam akiwa katika zoezi la kutafuta ndege ya Malaysia (Flight 370) iliyopotea

140313064906-02-malaysia-0313-horizontal-gallery.jpg



Wanajeshi wa Malaysia wakiwa katika zoezi la kutafuta ndege hiyo

140313065128-03-malaysia-0313-horizontal-gallery.jpg


Ndugu wa abiria wa ndege iliyopotea akiwa na majonzi

140313065422-05-malaysia-0313-horizontal-gallery.jpg


140313065243-04-malaysia-0313-horizontal-gallery.jpg


Wanamaji wa Indonesia wakiwa katika juhudi za kutafuta ndege hiyo

140312182629-02-malaysia-0312-horizontal-gallery.jpg



Waandishi wa habari wakinyoosha mikono kuuliza maswali juu ya ndege iliyopotea

140312182823-03-malaysia-0312-horizontal-gallery.jpg


Wanajeshi wa Indonesia wakiendelea na zoezi hilo

140311065649-01-malaysia-0311-horizontal-gallery.jpg


140312093931-01-malaysia-0312-horizontal-gallery.jpg
 
Raia wawili wa Iran waliotambuliwa kughushi passport za kusafiria (Pouri Nourmohammadi,kushoto, na Delavar Seyed) wanasadikiwa kuhusika na upotevu wa flight 370

140311063643-01-iranian-passengers-0311-horizontal-gallery.jpg
140311063643-01-iranian-passengers-0311-horizontal-gallery.jpg
 
Helicopter ya Marekani ikijiandaa kwenda kuongeza nguvu ya kutafuta Flight 370

140309150817-01-malaysia-search-0309-horizontal-gallery.jpg


Jopo la waokoaji likisali kabla ya kuendelea na zoezi la kutafuta flight 370

140309063600-02-malaysia-airliner-0309-horizontal-gallery.jpg
 
Mtalii wa Italiano akionesha passport yake mpya baada ya kuibiwa ya kwanza August mwaka jana na kusadikiwa passport yake huenda ilitumika na watu wawili walioghushi passport na kusafiri na ndege hiyo flight 370

140309084931-luigi-maraldi-restricted-horizontal-gallery.jpg
 
Wakuu wa Buddhist wakisali kuombea abiria waliokuwemo kwenye flight 370

140309063613-04-malaysia-airliner-0309-horizontal-gallery.jpg


Meli ya Kivita ya wanamaji wa China ikijiandaa kuondoka kwenda kuongeza nguvu ya kutafuta Flight 370 iliyopotea

140308224110-11-malaysia-rescue-ship--restricted-horizontal-gallery.jpg
 
Hakuana mwenye taarifa mpaka sasa juu ya kupatikana kwa ndege hiyo??????????????
 
Ila kwa kuwaangalia hawa Iranians mbona kabisa wanaonekana kama wana kitu moyoni? They are not good chaps!!! Kisaikolojia, kuna doubt kabisa kwa hawa viumbe.
 
Majonzi kwa kweli, watu tumekuwa wakatili kuliko wanyama, eeh Mola tunusuru
 
Tyta vijana wanachukua jukumu lako....usihofu ndege ikiisha kupatikana assigment inaishia hapo
 
Last edited by a moderator:
Ndege hii inawezekana Imeanguka kwenye Milima au Baharini hasa maeneo yenye kina kirefu.

Na hii ndio sababu waokoaji bado hawajui hasa ni nini kilitokea.
 
Ngumu kujudge kwa style hiyo...mmoja alikua anaenda Germany kuonana na mama ake...only God knows the truth!!!
 
Hiyo ndege kama imetekwa na magaidi kwann hawajitokezi kueleza dhumuni la kuiteka????????
 
Ngumu kujudge kwa style hiyo...mmoja alikua anaenda Germany kuonana na mama ake...only God knows the truth!!!
Ni kweli lakini kinachotia mashaka ni hati zilizoghushiwa
 
Hakuana mwenye taarifa mpaka sasa juu ya kupatikana kwa ndege hiyo??????????????

Mi ninazo taarifa za ukweli kabisa...ni kwamba ile ndege imepotea haijaonekana na juhudi za kuitafuta zinaendelea maka marekani waomeongeza nguvu huku wenye ndugu zao wamekata tamaa wasijue cha kufanya...vp hapo mkuu umeridhika?
 
Back
Top Bottom