Taarifa nilizozipata hivi punde ni kwamba kwa sasa timu ya watafutaji wa ndege hiyo imeingia kwenye bahari ya Hindi kuendelea na msako wa kuitafuta ndege hiyo
Bila shaka ni wakati mwafaka kwa watanzania kushiriki kikamilifu kwenye zoezi hili la kuitafuta ndege hii
Bila shaka ni wakati mwafaka kwa watanzania kushiriki kikamilifu kwenye zoezi hili la kuitafuta ndege hii