Habari wanaJF
Mwenzenu mie, usiku wa leo kuanzia saa nane hadi saa kumi alfajiri kuna bundi alikuwa juu ya paa la nyumba yangu, anaimba kwa sauti yake, halafu mfululizo hampumziki ilikuwa kero japo nimefunga madirisha, giputhamu, lakini bado kelele ilikuwa inasikika hadi ikawa kero kwangu!
Mwenzenu mie, usiku wa leo kuanzia saa nane hadi saa kumi alfajiri kuna bundi alikuwa juu ya paa la nyumba yangu, anaimba kwa sauti yake, halafu mfululizo hampumziki ilikuwa kero japo nimefunga madirisha, giputhamu, lakini bado kelele ilikuwa inasikika hadi ikawa kero kwangu!

