Ndege Bundi

Ndege Bundi

NAKWEDE

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2007
Posts
27,972
Reaction score
35,192
Habari wanaJF

Mwenzenu mie, usiku wa leo kuanzia saa nane hadi saa kumi alfajiri kuna bundi alikuwa juu ya paa la nyumba yangu, anaimba kwa sauti yake, halafu mfululizo hampumziki ilikuwa kero japo nimefunga madirisha, giputhamu, lakini bado kelele ilikuwa inasikika hadi ikawa kero kwangu!
 
Habari wanaJF

Mwenzenu mie, usiku wa leo kuanzia saa nane hadi saa kumi alfajiri kuna bundi alikuwa juu ya paa la nyumba yangu, anaimba kwa sauti yake, halafu mfululizo hampumziki ilikuwa kero japo nimefunga madirisha, giputhamu, lakini bado kelele ilikuwa inasikika hadi ikawa kero kwangu!
Alikuwa anakuamsha muda wa mambo yetu.umeshafika au haulali na shemeji?
 
Hahahah wa mikoani mna visa.Usije kutuambia eti umelogwa na huyo ndege.
Sipati jinsi ulivyokuwa unatetemeka.Si ungetoka umtimue!
sikuthubutu kutoka! halafu hata hivyo nahisi alikuwa kileleni kabisa kwenye paa! sasa si unajua tena usiku unatisha siwezi kutoka nje. hahahahaah. Kuhusu kulogwa mie sijui kama ndio nimelogwa au bundi alikuwa kajisikia tu kutua kwenye nyumba yangu!
 
sikuthubutu kutoka! halafu hata hivyo nahisi alikuwa kileleni kabisa kwenye paa! sasa si unajua tena usiku unatisha siwezi kutoka nje. hahahahaah. Kuhusu kulogwa mie sijui kama ndio nimelogwa au bundi alikuwa kajisikia tu kutua kwenye nyumba yangu!
ungetoka kama una kijinga cha moto ukamrushia asingerudi tena, nilikuwa naona sana nilipokuwa ninaishi vijijini, sasa mabundi wako aina nyingi, sijui bundi gani, manake kuna vile vidogo hivyo visumbufu sana na kelele yake inaumiza, yale makubwa yana sauti ya mshindo na besi besi hivi
 
ungetoka kama una kijinga cha moto ukamrushia asingerudi tena, nilikuwa naona sana nilipokuwa ninaishi vijijini, sasa mabundi wako aina nyingi, sijui bundi gani, manake kuna vile vidogo hivyo visumbufu sana na kelele yake inaumiza, yale makubwa yana sauti ya mshindo na besi besi hivi
mmmmh! sasa kijinga cha moto nitakipata wapi mpendwa wangu Akajasembamba, huku mjini hatuna majiko ya kuni!
 
mmmmh! sasa kijinga cha moto nitakipata wapi mpendwa wangu Akajasembamba, huku mjini hatuna majiko ya kuni!
hahahahaha, kwa mjini sijui, lakini sie vijijini ndio tulikuwa tunafanya hivyo na kama bundi aliyetumwa harudi tena, kama ni ndege wa kawaida atarudi, ila hawa wadudu kumkuta ambae hana mahusiano na binadamu ni nadra sana
 
hahahahaha, kwa mjini sijui, lakini sie vijijini ndio tulikuwa tunafanya hivyo na kama bundi aliyetumwa harudi tena, kama ni ndege wa kawaida atarudi, ila hawa wadudu kumkuta ambae hana mahusiano na binadamu ni nadra sana
Na huku kwetu Mwanza wanapenda sana kushiriki huo utamaduni wa kufanya mambo yasiyompenda Mungu na wanadamu! Sasa nifanyeje mieee, uwiiiiiiiiiii, au ndio maana leo najisikia kuchoka choka, halafu hata MB zangu zinaisha haraka sijui ndio uchawi wenyewe huo , mmmmmmmh!
 
Back
Top Bottom