Jamani em naomba updates kdg, kuhusu yule anayetekwa east africa vipi alitekwa nani isijekua wengine tulipitwa au bado?
Hii ya mataifa madogo kuinuka inafurahisha, em ngoja tuisubiri tuone kama bongo imo
Kaunga asante kwa kuwa nimekuona, mi nimependa zaidi hii
...........Mataifa madogo yatainuka na makubwa yataporomoka.........
Nikiamini siyo mataifa tu hata kwa mtu mmoja mmoja ikianza na mimi.