Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
"Katika basi Mama mmoja alitaka kumnyonyesha mtoto,Mtoto akakataa,Mama akamwambia"nyonya,kama hutaki nampa anko anyonye!"anko ni kaka mmoja abiria aliyeketi na huyo Mama.Mtoto akanyonya kidogo akaa#ha.Mama akamtishia tena kumpa anko.Ndipo yule kaka kwa hamaki akasema"Mama uwe na msimamo.Unajua nimepitiliza vituo vinne kwa ajili yako,hebu kuwa mkweli!! unanipa ninyonye au nishuke?=)}"