Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,252
- 10,497
Attachments
Last edited by a moderator:
design kwa image hiyo, yaani ndani iwe hivo, vyumba viwili vya kulala moja master, sebule choo..... kama unavyoona. fanya simple design uwezavyo. kuhusu ukubwa wa plot usihofu.Ni vema, yes kazi iko vizuri.
Kiutaalamu ili mchanganua wa makadrio ya gharama za majenzi uweze kufanyika unategemea sana vipimo, vilivyotumika kusanifu huo mchoro hivyo basi ni vema ukaweka pia au ukatuma na floorplan yenye vipimo, section, roof plan ndio sasa kazi itafanyika.
Ikiwa ndio umegoogle katika blog hiyo na hawakuweka mchoro wenye vipimo basi, ukituwekea ukubwa wa plot yako, tunaweza kudesign upya nyumba yako kwa image hiyo ili kupata mchoro wenye vipimo, ndipo hatua ya ukokotoaji majenzi itafuata.
Asante, watalaam wengine watafuata na mchanganuo kwa kadrii ya uzoefu, ujuzi na umahili wao katika fani.
Dear Husninyo!!
Hii umeichora mwenyewe mamii?
Anyway, coz I know you, nakuzawadia hii, mengineyo ni inbox.
View attachment 259905
jamani!! mbona hii nayo tamu zaidi!!! nichore mwenyewe jeuri hiyo niitoe wapi. nimegoogle hizo. ahsante kwa zawadi dear.
Hizo ni 3Ds ambazo uhitaji wake ni mdogo Sana kwenye ukadiriaji wa ujenzi,
Na pia, architects ( wasanifu wa majengo) hawafanyi ukadiriaji...
Ukadiriaji ni kazi ya Quantity surveyors, mtafute quantity surveyor utapata msaada zaidi.
au, attach michoro ifuatayo nitakusaidia.
1.Floor plan (with dimmensions)
2. Sections ( with dimensions)
3. Roof plan
4. Foundation plans, and details...
KAMA VIP NI-PM ...
Ila sijaelewa hicho kijichumba kidogo kabisa upande wa kulia ni chumba cha nini.
Ila sijaelewa hicho kijichumba kidogo kabisa upande wa kulia ni chumba cha nini.
HahahaaaCha kujificha wezi wakija.
Hivyo vyote sina kaka.... yaani hapo ni mteja kaja anataka ramani na cost analysis.. anavyotaka ndo hivo uonavyo kwenye picha.
Cha kujificha wezi wakija.
Ha ha haaaa asante sana. . . . .
Hahhhhaaa! Ila cha kushangaza wewe wanajf tukikutafuta unajificha humo. Mi nitakuja kukabomoa.
Cha kujificha au kumficha mpenzi wako mkifumaniwa.HahahhaIla sijaelewa hicho kijichumba kidogo kabisa upande wa kulia ni chumba cha nini.