uroho tu na umelo vimukujaa
Hahahahaha......ndio mambo ya Sepali na Petali?
Pamoja na first class haikosi nyekunduBlack is first-class (cheusi Dawa)
Ila ngozi ya nje ni nyeusi vilevile
Bila shaka ila ule wa mdomo mwingineMshana, unamaanisha ulimi au,

Hivyo hivyo ulivyowaza kama mimiHa ha haaaa sijui nimewaza sahihi....acha nipite kimya kimya
Alafu pembeni kama kuna viurembo kama vile vya wamasai wanavaaga miguuni