Siku si nyingi hako katabia ka kubadilibadili kauli katapewa jina la Ndali..Tayari wameshakanusha,
Unanii wako umetimia
Mkuu,elimu ya Tanzania haimsidii mtu kujikwamua kwenye umasikini, yaani hata Mimi najuta kusoma hadi chuo nimepoteza muda sana mpaka sasa sijafanya la maana maishani zaidi ya umasikini kunitafunaWasitutishe! Kwanza elimu yenyewe haina umuhimu kiivo. Siku hizi vilaza ndio wamefanikiwa zaidi kuliko wasomi. Msomi unaishia kununua ka Rav4 na kujenga ka nyumba ka vyumba vitatu then unastaafu kwenye umasikini wa kutupa...
Wewe hiyo degree imekusaidia nini?safi sana Ndalichako, mtu unakuta anadiploma ambayo hainakichwa wala miguu eti anasoma degree.. vizuri sana degree sio nyanya kila mtu awe nayo.
Wewe hiyo degree imekusaidia nini?