Kwa nini watu tunafikia kujidharaulisha hivi jamani? Si angetengeneza hata kashati uchwara tu kuliko ndala za kwenda cho/msalani!!! Kama ni ujuha huu zaidi
Kweli kabisa yani ukanyangwe !haina tafsiri nzuri kwenye ulimwengu wa roho
Kwa nini watu tunafikia kujidharaulisha hivi jamani? Si angetengeneza hata kashati uchwara tu kuliko ndala za kwenda cho/msalani!!! Kama ni ujuha huu zaidi
Kwa nini watu tunafikia kujidharaulisha hivi jamani? Si angetengeneza hata kashati uchwara tu kuliko ndala za kwenda cho/msalani!!! Kama ni ujuha huu zaidi
Kwa nini watu tunafikia kujidharaulisha hivi jamani? Si angetengeneza hata kashati uchwara tu kuliko ndala za kwenda cho/msalani!!! Kama ni ujuha huu zaidi
Haki ya nani lkn ndio akili mgando
Angafanya rihanna au jlo mngempa sifa kafanya mjasiria mali wa bongo kasha tele,wivu na unafki
Manyang'au wahead
Mi jmn sina tatizo na hizo ndala tatizo langu n kwny ubetuaji wa midomo, iwe anatangza lzm abetue, iwe kukaa kawaida lzm ibetuliwe, km unaweza iona hii comment naomb utfute pozi lingne la midomo.