Mau Senior Member Joined Apr 8, 2009 Posts 176 Reaction score 10 Nov 29, 2013 #1 Habari za kazi wadau, naombeni mnifahamishe nitakapopata thin clients za ncomputing nazihitaji kwa ajili ya business yangu ndogo. Nimezichagua hizo coz naona zitakuwa less expensive and easy to manage coz sina taaluma ya computa sana Nawasilisha
Habari za kazi wadau, naombeni mnifahamishe nitakapopata thin clients za ncomputing nazihitaji kwa ajili ya business yangu ndogo. Nimezichagua hizo coz naona zitakuwa less expensive and easy to manage coz sina taaluma ya computa sana Nawasilisha
ThinkPad JF-Expert Member Joined Apr 11, 2008 Posts 1,844 Reaction score 236 Nov 29, 2013 #2 Dar zipo kwenye maduka baadhi, au uende BMTL hizo Ncomputing ni nzuri ila kuna matoleo mapya yanayo support usb,
Dar zipo kwenye maduka baadhi, au uende BMTL hizo Ncomputing ni nzuri ila kuna matoleo mapya yanayo support usb,
Mau Senior Member Joined Apr 8, 2009 Posts 176 Reaction score 10 Nov 29, 2013 Thread starter #3 Kwa mwenye msaada napatikana hapa 0712000316
daraja la kigamboni JF-Expert Member Joined Apr 28, 2016 Posts 3,342 Reaction score 3,229 Jul 14, 2022 #4 Swali: Naweza kutumia ncomputing bila internet?
proxy JF-Expert Member Joined Jul 3, 2016 Posts 1,481 Reaction score 1,353 Jul 15, 2022 #5 daraja la kigamboni said: Swali: Naweza kutumia ncomputing bila internet? Click to expand... Yes Ila unahitaji network so as to work
daraja la kigamboni said: Swali: Naweza kutumia ncomputing bila internet? Click to expand... Yes Ila unahitaji network so as to work