Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Katibu Mkuu wa Chama cha mapinduzi (CCM), Dkt Emmanuel Nchimbi amewataka Wabunge wenye nia ya kugombea watambuane na yeyote atakayeshinda au kushindwa amuunge mkono mwenzake.
Dkt Nchimbi ameyasema hayo wakati akiongea na Wananchi wa Nyamongo, Tarime Vijijini, aliposimama kuwasalimia.
“Katika maeneo yote niliyopita nigetamani kila Mbunge wa CCM aweze kumtaja Mtu ambaye anafikiri ni Mshindani wake na akisha mtaja aseme kwamba niko tayari kwenda na wewe kwenye uchaguzi, uchaguzi sio ugomvi”
Dkt Nchimbi ameyasema hayo wakati akiongea na Wananchi wa Nyamongo, Tarime Vijijini, aliposimama kuwasalimia.
“Katika maeneo yote niliyopita nigetamani kila Mbunge wa CCM aweze kumtaja Mtu ambaye anafikiri ni Mshindani wake na akisha mtaja aseme kwamba niko tayari kwenda na wewe kwenye uchaguzi, uchaguzi sio ugomvi”