PreGE2025 Nchimbi: Vijana msikubali kupotoshwa

PreGE2025 Nchimbi: Vijana msikubali kupotoshwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Balozi Nchimbi Nyerere alionya vijana wa Tanzania wasikubali kupotoshwa.

Ameeleza kuwa baba wa Taifa alitamani kuona taifa lina wasomi ambao watalitumikia taifa.

"Ndiyo maana baba wa Taifa alisema vijana wa Tanzania wasikubali kupotoshwa, vijana wa Tanzania wasikubali kupotezwa, vijana wa Tanzania, vijana wawe na tija kwa taifa, vijana wasiwe mzigo kwa Taifa" Dr. Emanuel Nchimbi, Katibu mkuu CCM
 
"Ndiyo maana baba wa Taifa alisema vijana wa Tanzania wasikubali kupotoshwa, vijana wa Tanzania wasikubali kupotezwa, vijana wa Tanzania, vijana wawe na tija kwa taifa, vijana wasiwe mzigo kwa Taifa" Dr. Emanuel Nchimbi, Katibu mkuu CCM
Aache ujinga wake
 
Balozi Nchimbi Nyerere alionya vijana wa Tanzania wasikubali kupotoshwa.

Ameeleza kuwa baba wa Taifa alitamani kuona taifa lina wasomi ambao watalitumikia taifa.

"Ndiyo maana baba wa Taifa alisema vijana wa Tanzania wasikubali kupotoshwa, vijana wa Tanzania wasikubali kupotezwa, vijana wa Tanzania, vijana wawe na tija kwa taifa, vijana wasiwe mzigo kwa Taifa" Dr. Emanuel Nchimbi, Katibu mkuu CCM
View attachment 3315256

Sawa tumekubali, fahamu hamtatupotosha ng'oo!

Lukasi, Tlaa'tlaah na Ile mijamaa ya g-55, au nasema uongo?
 
Balozi Nchimbi Nyerere alionya vijana wa Tanzania wasikubali kupotoshwa.

Ameeleza kuwa baba wa Taifa alitamani kuona taifa lina wasomi ambao watalitumikia taifa.

"Ndiyo maana baba wa Taifa alisema vijana wa Tanzania wasikubali kupotoshwa, vijana wa Tanzania wasikubali kupotezwa, vijana wa Tanzania, vijana wawe na tija kwa taifa, vijana wasiwe mzigo kwa Taifa" Dr. Emanuel Nchimbi, Katibu mkuu CCM
View attachment 3315256
 
Back
Top Bottom