Nchimbi, Mkono, Kibajaji wazuiwa H/Kuu

Nchimbi, Mkono, Kibajaji wazuiwa H/Kuu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,528
Nchimbi, Mkono na Kibajaji wamezuiwa getini wasiingie mkutanoni kisa hawana vitambulisho. Baada ya tafrani ya takribani robo saa wajumbe hao wameruhusiwa kuingia.

Chanzo: Wapo radio kutoka nje ya ukumbi Dodoma.
 
Leo ndo Ngozi halisi ya Mkwere tutaijua. Mwenyekiti ni Luteni kanali mstaafu na Katibu Mkuu ni kanali mstaafu
 
Yani watu wazima wanatembea bila vitambulisho...??!
 
ati EDO/ EL mwaga mboga tafadgari..............!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nchimbi, Mkono na Kibajaji wamezuiwa getini wasiingie mkutanoni kisa hawana vitambulisho. Baada ya tafrani ya takribani robo saa wajumbe hao wameruhusiwa kuingia. source wapo radio kutoka nje ya ukumbi Dodoma.

Wana kwenda kufanya nn wamesha asi
 
Back
Top Bottom